Mzigo wa nini?

mimi nilikuwa nafikiri labda kanga huwa wanaweka dharura wakifikwa na siku zao bila wao kutegemea...watu si wanatofautiana jamani, mwingine anaweza kuanza kubleed because of mshituko fulani tu etc na wengine siku zinakuwa zigzaga hivyo ajajua kama amevaa sketi wakati huo akijisikia ubichi tu anavaa kanga hadi afike nyumbani ili watu wasilitambue hilo...au ni nini zaidi ya hilo?...ni desturi tangu zamani, hivyo hat akama haiotatokea hivyo, ni desturi ya wengine...

kama mnaongelea kuhusu uzinzi, si lazima awe na kanga? mtu mzima anaweza kufanya chochote hata mumewe asijue kama ameamua na kama dhambi ya uzinzi imemjaa moyoni..na kanga sijui kama ndo wanatumia hivyo...wadada wenyewe watuambie kama huwa wanafanya hivyo kwaajili ya nini....

...aaah, mkubwa dunia duara hii. Wanasema alalaye usimuamshe. Kama hutaki kujipa presha amini hivyo, lakini wengi weshafanyiwa mazingaombwe, vibweka na vikolombwezo vingine na khanga hizo huko 'Viwanja vya wa fisi', lakini hujipa moyo wake zao wanapozibeba mikobani. Si ajabu kuna wengine wanatucheka humu "yaani ndio wameshtuka leo?!" ha ha ha...

visabuni vile sijui kwanini gesti wanavipenda sana!....
kila gesti wanaviweka vile HALAFU VINA HARUFU KWEL KWEL:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:

...ha ha ha, wewe kweli mzoefu aisee. Nilikuwa sijalifikiria sana hilo. Ha ha ha....
 
visabuni vile sijui kwanini gesti wanavipenda sana!....
kila gesti wanaviweka vile HALAFU VINA HARUFU KWEL KWEL:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:


Halafu vina jina moja tu! EVA na hili jina mie naliheshimu sana sana!
 
Khanga ni nguo iliyo na maana sana kwa mwanamke wa kiafrika hata wa kizungu kama akifahamu maana yake. Lakini kinachonivutia na kuniskitisha siku hizi ni suala zima la baadhi ya wanawake kubeba khanga hizi lakini pasipo kujua maana ya kubeba khanga hizi kwahiyo kuishia kuwa mzigo kama asemavyo mtoa mada.

Kwanini nasema khanga ina umuhimu kwa mwanamke? Ina umuhimu kutokana na kwanza kabisa maumbile ya wanawake na dharura ambayo inaweza kutokea mahala popote na kukuta khanga hii ikiwa msaada mkubwa sana ambao hakutegemewa.

Pili mwanamke ni mtu wa jamii kwa kiwango cha hali ya juu kabisa kwahiyo kuwa na khanga anaweza kumsaidia mtu mwingine kabisa ambaye amepata dharua huyu aweza kuwa hata mwanaume, haijalishi. Mimi nilishawahi kushuhudia mwanadada mmoja akiokolewa na mwanamke mwenzake baada ya kupita maeneo amevaa nguo fupi sana kiasi cha kuanza kuzongwa na vijana wa mitaani.

Tatu mwanamke ni ambaye dharura nyingine yoyote ya kijamii inaweza kutokea akiwa nje na nyumbani mwake kwa mfano msiba n.k sasa kama hajabeba khanga mfukoni mwake inaweza kuwa fedheha kwa mawanamke aliye na nidhamu kwenda kwenye msiba akiwa na kimini pamoja na maziwa yakiwa nje nje.

Sasa siku hizi ni vichekesho maana wanwake wengine tu hata kufunga hiyo khanga na kukaa kwenye kiuno tu ni jambo lisilowezekana kwao mana kila baada ya hatua mbili khanga inarekebishwa vizuri kiunoni kwani inataka kudondoka. Na jambo jingine la kushangaza ni kuwa siku hizi hata kwenye misiba wanwake hawafungi tena khanga ila wanavaa miwani mikubwa myeusi na nguo nyeusi aidha surauli au sketi.

Nway ndio maisha
 
...ha haha, nadhani ana maanisha kikoi/mtandio/ushungi..



...kwakweli aisee, kwa wengine ni jina kama la yule mama kwenye vitabu vya dini aliyemponza Adam.

Mie ni jina la ...................basi wacha niache tu:mad:
 
Mi nadhani ukweli anaujua anayebeba kwani hakuna kitu anachopata nacho shida mtu bila kuwa na faida nayo
Faida ni ya yule anayebeba na yaweza ikawa faida mbaya kwa mtu inayemuhusu mfano itatumika kujificha na kanga/kitenge chake na hivyo isiwe rahisi kwa mtu wa karibu kumfahamu/kumjua na inaweza ikawa ni kwa ajili ya kujilinda dhidi ya dharura mfano kuteleza/kuanguka katika tope/nguo kuchanika
NB1
Kama ni msimu wa mvua sawa lakini kiangazi na hakuna tatizo la majimaji basi inaweza kuwa na kazi ya ziada mfano katika uwanja wa 6x6 maana mara huwa kuna aibu kwa kufanya hivyo kwa siku ya kwanza maana utahitaji walau ujisitiri kiainaaina mpaka netweki itapokatika/toweka na kufika katika pepo ya shetani ndo iondoke yenyewe na pia ni kazi kubeba shuka la mahala pa kazi uingie nalo kufuata maji baada ya mdondoko/mchoko baada ya kushuka kutoka katika mbingu ya shetani.
NB2
Kama wanatamani kutembea na nguo fupi,za kutumika kulala usiku kutoka nazo mchana,kutembea na nguo zinazoenesha mipaka ya mabonde inamopatikana kitafutwa/kinachotafutwa na wanaooa je kanga ya nini maana ikitokea ndo imekurahisishia kuonekana sokoni bila gharama na bila kudhaniwa vibaya
Ushauri wasibebe maana dunia ya sasa tunaelekea kuacha kutumia nguo na tutatoka bila nguo miaka si mingi ijayo kwani ni haki ya mtu kutokuvaa au kuvaa na ipatikakana na inalindwa na HAKI ZA BINADAMU na pia nguo za watoto zinaisha kwa kasi kwani zinavaliwa na wakubwa pia!
 
Back
Top Bottom