ALLEX JF-Expert Member Mar 15, 2011 2,006 343 May 25, 2011 #23 Hakika kumng`oa kigogo kama huyu noma wangemalizana kibongo bongo... But ndiyo kawa maarufu hivyo...
Rutashubanyuma JF-Expert Member Sep 24, 2010 219,422 911,172 May 25, 2011 #24 sasa ashauriwe kuchukua mzigo huo jumla............
mwakichi JF-Expert Member May 14, 2011 417 95 May 25, 2011 #25 haha ahah ahaha aha ahaha hahaha ahahah ahahaha.....hako bna kamepiga teke gunia la chapaa
Anko Sam JF-Expert Member Jun 30, 2010 3,202 820 May 25, 2011 #26 Huyu Mzee wame mchezea rafu za kisiasa, yaani ka-dizaini hiyo hata mimi siwezi kuchukua! Anazidiwa na Maria Roza!
Huyu Mzee wame mchezea rafu za kisiasa, yaani ka-dizaini hiyo hata mimi siwezi kuchukua! Anazidiwa na Maria Roza!
S SACoNa Member May 25, 2011 61 5 May 26, 2011 #27 Ngongo said: Katoto kazuri kumlaumu Dominique ni kumuonea bure. Click to expand... Ngono kwa huyu mzee ishakuwa kama fashion fulani, ila kwa hili ataona joto la jiwe.
Ngongo said: Katoto kazuri kumlaumu Dominique ni kumuonea bure. Click to expand... Ngono kwa huyu mzee ishakuwa kama fashion fulani, ila kwa hili ataona joto la jiwe.