lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,111
- Thread starter
- #21
Yes unachoongea ni kweli mkuu. anyway sababu mshikaji anakuja juu sana mie ngoja nikae kimya. lakini mwenye kunielewa anielewe.
Mie comment yangu ya mwanzo nilimwambia afanye Review ya prices tena kwa ku quote price za baadhi ya maduka ili kama alikurupuka basi afanye review kwenye bei. Hiyo nayo naona imekua balaa akaanza mara feki mara OG mara nn. Duh... Aiseee..!
Niliuliza wat is so special kwenye mzigo wake? nikasema hivi kama kuna keyboards na mengineyo price yake ni sawa compared to other shops. Coz mfano keyboard separate inauzwa dola 70 na kuendelea. pochi ni ni dola 20 na kuendelea.
Nachotaka nimwambie naweza kumuagizia hizo ipads tena Factory unlocked kwa whole sale ya dola 500 mpya. Asitake kujua zimeibiwa kwenye contena wala zimetoka wapi?
Ingekuwa kila seller anasema ukweli mzigo kaupata wapi na kwa bei gani mbona Kariakoo tungekoma . Wat they do wana angalia market price. hata kama amenunua kitu kwa shilingi moja atauza kwa shilingi elfu 1.
biohazard naona umeamka na mimi leo unataka kuniletea hazard kwenye business yangu! Tatizo mimi nipo mikocheni na target market yangu ni kusupply makampuni, na watu wapenda vitu genuine na high class, ndo maana nimelipa kodi zooote! Sio kwamba sijafanya research nimefanya tena sana masaki, posta, mikocheni na kampuni zinazosupply, nenda shoppers i pad 3, 64GB ni 2.3m ndo maana nakwambia kila mtu ananamna ya kufanya business, watu ninaowauzia they are much concerned with reliability ya quality and less about price. Bishara za kkoo zinaeleweka kuwa 90% ni chinese fake! na 10% wanaouza original ni wakwepa kodi wakubwa na mahodari wa kuizunguka TRA.
Wewe do what you do and let me do what i do.