Makala Jr
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,395
- 1,110
Hii ndo kazi ya Nape na hiyo ndo hoja pekee aliyopata baada ya kufikiri saaana yeye ameshindwa kabisa kupata hoja yenye maana kiuchumi,kisiasa na kijamii.Matatizo ya dawa,usafiri wa majini,ukosefu wa nyumba za walimu,mfumuko wa bei n.k Nape hajaona hayo,yeye alichoona ni SHULE ya Wassira.Hana tatizo na mikataba ya madini wala vitalu vya uwindaji na yuko sahihi.Ahsante kwa kazi nzuri Katibu Mwenezi wa Majungu na Fitina wa chama cha zamani.