Kama binadamu tungekuwa tunarudi kuja kusalimai baada ya kufa !Siku mwalimu Nyerer angerudi angepata wendawazimu kutokana na nchi aliyoiacha inavyoendeshwa !Hakuna haja ya kuoredhesha upupu wa ombwela uongozi ambalo ni janga kuu linalokuja .Naona limechelewa tu kutokana na ujinga wetu.
Hata hivyo watu chini tumeshapiga kelel vya kutosha .Lakini nchi hii ina watu angalau ambao wanaweza wakasimama wakakemea na kutoa mwelekeo!Lakini cha ajabu nao wamekaa kimya au wakiongea wanaongea kwa kumung'unya maneno! jambo hili ni hatari ....Ukweli ni kwamba uongozi wa JK umeshindwa kujibu matakwa ya wananchi! kuna uchafu mwingi umefanyika ndani ya serikali ambao uko wazi kabisa .
Nawasihi wazee wetu hawa waamke ,watanzania tunawaheshimu ni hatari kubwa nchi inapokosa Dira! kama leo Rostam AZIZ anaweza kutoka from no where akapanda hadi kwenye kamati kuu ya CCM!NA KUWA MTUNZA HAZINA ! HII NI LAANA!ANGALAU BASI WANGEKUWA WASAFI !Lakini ndiyo huyo mwenye uhusiano na makampuni ambayo BUNGE lilitamka kuwa ni ya kitapeli!
Jamani tunaweza kuwa ni wajinga lakini si wapumbavu kuna siku tongotongo zitatutoka sijui mtatuzuia vipi!
Wazee wetu haya mabo yanatokea mkishuhudia utumishi wenu uliotukuka unatiwa dosari kama mnayashuhudi haya ....chukueni hatua msilalamike kama sisi ! Uwezo mnao ...Historia itawahukumu!
Sina njia nyingine ya kuwafikishia wazee hawa ,natumaini ujmbe utafika!
Hata hivyo watu chini tumeshapiga kelel vya kutosha .Lakini nchi hii ina watu angalau ambao wanaweza wakasimama wakakemea na kutoa mwelekeo!Lakini cha ajabu nao wamekaa kimya au wakiongea wanaongea kwa kumung'unya maneno! jambo hili ni hatari ....Ukweli ni kwamba uongozi wa JK umeshindwa kujibu matakwa ya wananchi! kuna uchafu mwingi umefanyika ndani ya serikali ambao uko wazi kabisa .
Nawasihi wazee wetu hawa waamke ,watanzania tunawaheshimu ni hatari kubwa nchi inapokosa Dira! kama leo Rostam AZIZ anaweza kutoka from no where akapanda hadi kwenye kamati kuu ya CCM!NA KUWA MTUNZA HAZINA ! HII NI LAANA!ANGALAU BASI WANGEKUWA WASAFI !Lakini ndiyo huyo mwenye uhusiano na makampuni ambayo BUNGE lilitamka kuwa ni ya kitapeli!
Jamani tunaweza kuwa ni wajinga lakini si wapumbavu kuna siku tongotongo zitatutoka sijui mtatuzuia vipi!
Wazee wetu haya mabo yanatokea mkishuhudia utumishi wenu uliotukuka unatiwa dosari kama mnayashuhudi haya ....chukueni hatua msilalamike kama sisi ! Uwezo mnao ...Historia itawahukumu!
Sina njia nyingine ya kuwafikishia wazee hawa ,natumaini ujmbe utafika!