Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,645
............hao na wale wengine wote sasa wamo kwenye mgomo ! :yawn:Wanaogoma ni madaktari uchwara tu, huyo mchungaji anawaambia ukweli.
............hao na wale wengine wote sasa wamo kwenye mgomo ! :yawn:Wanaogoma ni madaktari uchwara tu, huyo mchungaji anawaambia ukweli.
Hivi huyu mchungaji anafikiria vizuri weli?
Mkuu hujakosea. Nawashangaa sana wanaoshabikia mgomo. Kwnza ni ukweli kuwa madaktari wanalipwa vizuri kuliko kada nyingine zote (mbali na wanaolipwa Special Scales kama TRA nk.). Hebu walinganishe na walimu, wahasibu na wanasheria nk. bado madaktari wako juu kwahyo sio kweli kuwa hawalipwi vizuri tuache siasa...na kama ni ugumu wa kazi zao kila mmoja anakubali kuwa wanastahili kuendelea kuangaliwa zaidi.. Hata serekali hilo ilishalikubali...Tuache siasa sasa hivi ikitokea ajali na ndg zako wamo bndani wakapelekwa hospitali wakakosa huduma ndipo utakapoona ubaya wa mgomo wa madaktari. Huu ni uuwaji, ni kinyume cha kiapo na haikubaliki..wewe If at all wangekuwa Genuine na mgomo wao ungeleta maana ikiwa wangegoma mara baada ya kupitishwa kwa budget na kubaini kuwa hakuna nyongeza ya mshahara na sio kutafuta hoja kwa kupitia kuondolewa kwa madaktari wa intern.Hivi hawa madaktari si wanakula kiapo hawa! Au kiapo chao hakiwaruhusu kufanya kazi ktk hali ngumu? Me nadhani taaluma ya udaktari imeingiliwa na mambo ya kisiasa, na hii ni hatari kwa taifa! Hebu tuangalie mfano huu, "ghafla tu kumetokea ugonjwa wa mlipuko na makamanda kadhaa wamekumbwa na huo ugonjwa! (nawakusudia viongozi wa upinzani wanaopigana kuikomboa nchi kutoka....) wakati huo madaktari wako ktk mgomo", je hali hapo itakuwaje? Hamuoni kama tunafanya jokes kwenye mambo ya msingi?
Mkuu hujakosea. Nawashangaa sana wanaoshabikia mgomo. Kwnza ni ukweli kuwa madaktari wanalipwa vizuri kuliko kada nyingine zote (mbali na wanaolipwa Special Scales kama TRA nk.). Hebu walinganishe na walimu, wahasibu na wanasheria nk. bado madaktari wako juu kwahyo sio kweli kuwa hawalipwi vizuri tuache siasa...na kama ni ugumu wa kazi zao kila mmoja anakubali kuwa wanastahili kuendelea kuangaliwa zaidi.. Hata serekali hilo ilishalikubali...Tuache siasa sasa hivi ikitokea ajali na ndg zako wamo bndani wakapelekwa hospitali wakakosa huduma ndipo utakapoona ubaya wa mgomo wa madaktari. Huu ni uuwaji, ni kinyume cha kiapo na haikubaliki..wewe
If at all wangekuwa Genuone na mgomo wao ungeleta maana ikiwa wangegoma mara baada ya kupitishwa kwa budget na kubaini kuwa hakuna nyongeza ya mshahara na sio kutafuta hoja kwa kupitia kuondolewa kwa madaktari wa intern.
Wanaogoma ni madaktari uchwara tu, huyo mchungaji anawaambia ukweli.
FF sio mtu mmoja ni kikundi cha watu tena hataaari zaidi ya al shabaab o boko haram,wanapishana wengine wanapolala wengine wanaamkaFF, narudi kulala. Nilikuwa nacheki tu kama uko kazini mpaka saa hizi! Kazi unayo!
Avatar yangu inaingiaje hapa? stick to the topicYEAH, JUST LIKE YOUR AVATAR
Ad hominem, stick with hoja tafadhali.kumbuka kitu kimoja, an oppressed society or person siku zote reactions zao si za kawaida, mpe huyo mchungaji stethoscope akatibu basi
Ila madaktari wanaeza kuchezea maisha ya wagonjwa tena maskini, si ndio?TO ME MUUAJI NI MTU KAMA PINDA ANAYEDHANI UNAWEZA KUCHEZEA MADAKTARI KAMA UVCCM.............. THERE IS NO PLACE IN THE WORLD WATU WANADHARAU DOCTORS
Nenda katawadhe uende masjid na kasuruali kako njiwa na makobazi. Sio lazima uchangie kila uzi.Na wewe uko wrong 100% :yawn:
Nimetawadha kama ilivyo tawadha Musa na Yesu, kisha nikaswali ! Wewe mara ya mwisho kushukuru ni lini !? ,mchambia makaratasi !Nenda katawadhe uende masjid na kasuruali kako njiwa na makobazi. Sio lazima uchangie kila uzi.
hawakula kiapo cha kuwa oppressed na kukaa kimya wakati social in-justice is out of controlHivi hawa madaktari si wanakula kiapo hawa! Au kiapo chao hakiwaruhusu kufanya kazi ktk hali ngumu? Me nadhani taaluma ya udaktari imeingiliwa na mambo ya kisiasa, na hii ni hatari kwa taifa! Hebu tuangalie mfano huu, "ghafla tu kumetokea ugonjwa wa mlipuko na makamanda kadhaa wamekumbwa na huo ugonjwa! (nawakusudia viongozi wa upinzani wanaopigana kuikomboa nchi kutoka....) wakati huo madaktari wako ktk mgomo", je hali hapo itakuwaje? Hamuoni kama tunafanya jokes kwenye mambo ya msingi?
huyu jamaa anatania sana na hajui kuwa mungu ndo mzee wa upako
mwache akufuru tuuu
Hitler na Darwin hawakukosea, kuna watu (kama wewe, sadly) with zeroor less socio-economic value to this planet, DNA zenu zinatakiwa kupotezwa.Nimetawadha kama ilivyo tawadha Musa na Yesu, kisha nikaswali ! Wewe mara ya mwisho kushukuru ni lini !? ,mchambia makaratasi !
DNA yako haifai hata kupewa mbwa, maana atakuwa na Rabbies !Hitler na Darwin hawakukosea, kuna watu (kama wewe, sadly) with zeroor less socio-economic value to this planet, DNA zenu zinatakiwa kupotezwa.