MZEE WA UPAKO: daktari anayegoma ni sawa na muuaji wa albino

huyu nae sawa na katuni
upako wake si wa nigeria hebu avue hilo pete la luciferer tuone kama ataweza kuwafanya watu waweseke.
Yesu hakuwa na kiburi huyu nani hata auhukumu wengine???
hana lolote wabongo wanadanganyika tu kuwa wafuasi wake hebu atumabie kama alishamponya kiwete mnaemfahamu na akatembea,acheni kudanganyika na hawa watafute hela kwa mgongo wa Yesu
 
kwa vile watumishi wengine wana mishahara midogo ndo wasidai haki zao,wengine kama waoga shauri zao,huyu mkusanya sadaka ana muafaka na magamba siku hizi

Mwenyewe nishahisi kitu kama hicho
 
Awe mwazi kama nae anataka ubunge mbona mwenzake mama lwakatare alikuwa mwazi na kapewa?
 
Siasa na dini washaona ni dili hee! Na ndo hawa hawa wanawaruhusu akina lowasa kwenda kufanyia kampeni makanisani mwao kwa fedha haramu
 
Huyu Antony Lusekelo naye mbona amezidi kujipendekeza. Mbona yeye haoni anavyoua watu kwa kuwaongopea kuwa wanakwenda peponi wakati anacholenga ni kuwatoa sadaka na kula yeye na mke wake? Lusekelo anabidi akue aache utoto na kuendekeza njaa.
 
Me idea yangu ilikuwa ni hii. unapotaka kudai haki nenda ukiwa na mikono safi.. haijalishi madaktari wanakosea au laa lakini kwa uchafu alonao mzee wa upako hana nguvu za kuwanyoshea vidole madaktari .. ni mtazamo tuu.

Unataka kutuambia kuwa kwakuwa mchungaji ni mchafu ila alichokisema ni haki, hivyo huwezi kuikubali ile haki kwa kuwa aliyeisema haki ni mchafu? siamini kama unaamini hivi!
 
hawa ndio watumishi wenye utata, mtumishi gani anaweza kuongea ivyo? Tena yeye ndio muuaji mkubwa kabisa.
 
Hivi hawa madaktari si wanakula kiapo hawa! Au kiapo chao hakiwaruhusu kufanya kazi ktk hali ngumu? Me nadhani taaluma ya udaktari imeingiliwa na mambo ya kisiasa, na hii ni hatari kwa taifa! Hebu tuangalie mfano huu, "ghafla tu kumetokea ugonjwa wa mlipuko na makamanda kadhaa wamekumbwa na huo ugonjwa! (nawakusudia viongozi wa upinzani wanaopigana kuikomboa nchi kutoka....) wakati huo madaktari wako ktk mgomo", je hali hapo itakuwaje? Hamuoni kama tunafanya jokes kwenye mambo ya msingi?
 
Huyu mchungaji ameshiba
sadaka za watz wachovu amejisahau!Usitegemee aongee tofauti na hivi.
 
Yawezekana anapata uzoefu wa kuingilia majukwaa ya kisiasa ili achukue jimbo 2015.
 
Hivi hawa madaktari si wanakula kiapo hawa! Au kiapo chao hakiwaruhusu kufanya kazi ktk hali ngumu? Me nadhani taaluma ya udaktari imeingiliwa na mambo ya kisiasa, na hii ni hatari kwa taifa! Hebu tuangalie mfano huu, "ghafla tu kumetokea ugonjwa wa mlipuko na makamanda kadhaa wamekumbwa na huo ugonjwa! (nawakusudia viongozi wa upinzani wanaopigana kuikomboa nchi kutoka....) wakati huo madaktari wako ktk mgomo", je hali hapo itakuwaje? Hamuoni kama tunafanya jokes kwenye mambo ya msingi?

Kiapo hakimfanyi daktari kuwa MFUNGWA katika taaluma yake.. hichi kiapo ushakisoma mkuu?
 
Makanisa mengi siku hizi yanahubiri utoaji wa sadaka wengine wakienda mbali zaidi kwa kuhimiza wahumi watoe sadaka za noti na si koini(wakilenga minimum sadaka itakuwa 500/=) lakini wanashindwa kuangalia hali ya uchumi wa jamii husika kupanda na kushuka kwa uchumi wao hawaelewi kuwa utawala wa kidunia unahusika vipi, hivo lusekelo kusema hivo simshangai kabisa hawezi kuunganisha matukio na kugusa chanzo cha ugonjwa badala yake anataka kutibu dalili. Hawa ndo wanaokemea magonjwa ya minyoo badala ya kufundisha elimu ya afya. Jamani swala la kiroho lishugulikiwe kiroho na la kimwili litatuliwe kimwili. Hili la madaktari ni la kimwili halitatuki kwa upako
............ anauza "sabuni za upako" .............. Kuna Tsh 3,000/= Tsh 5,000/= na Tsh 10,000/=. zinasaidia kufukuza pepo, kuponya magonjwa na kuongeza baraka ! (the living Sheikh Yahaya )
:juggle:
 
Hivi hawa madaktari si wanakula kiapo hawa! Au kiapo chao hakiwaruhusu kufanya kazi ktk hali ngumu? Me nadhani taaluma ya udaktari imeingiliwa na mambo ya kisiasa, na hii ni hatari kwa taifa! Hebu tuangalie mfano huu, "ghafla tu kumetokea ugonjwa wa mlipuko na makamanda kadhaa wamekumbwa na huo ugonjwa! (nawakusudia viongozi wa upinzani wanaopigana kuikomboa nchi kutoka....) wakati huo madaktari wako ktk mgomo", je hali hapo itakuwaje? Hamuoni kama tunafanya jokes kwenye mambo ya msingi?
:alien::alien::alien:
:yawn::yawn::yawn:
 
Hivi hawa madaktari si wanakula kiapo hawa! Au kiapo chao hakiwaruhusu kufanya kazi ktk hali ngumu? Me nadhani taaluma ya udaktari imeingiliwa na mambo ya kisiasa, na hii ni hatari kwa taifa! Hebu tuangalie mfano huu, "ghafla tu kumetokea ugonjwa wa mlipuko na makamanda kadhaa wamekumbwa na huo ugonjwa! (nawakusudia viongozi wa upinzani wanaopigana kuikomboa nchi kutoka....) wakati huo madaktari wako ktk mgomo", je hali hapo itakuwaje? Hamuoni kama tunafanya jokes kwenye mambo ya msingi?
..Wewe hebu wacha ujinga bana ! kwani hukuona wengine wakila viapo ? au vyakwao ni vya kufanya ufisadi ?
Rais alikula kiapo, Lowasa, Pinda, Jairo, Wabunge wote akiwamo Rwakatare, Makatibu wakuu wote, Mawaziri wote tena TBC ilirusha hewani Live !
:crazy::der::loco:
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom