tonnyalmeida
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 226
- 46
Hivi huyu mchungaji anafikiria vizuri weli?
Your government is busy doing this!!!!Mchungaji uko sahihi. Hawa Madaktari ni wauaji zaidi wauaji wa Albino kwani uongo? Nawashangaa sana wanaunga mkono Madaktari hao kugoma.
Mchungaji uko sahihi. Hawa Madaktari ni wauaji zaidi wauaji wa Albino kwani uongo? Nawashangaa sana wanaunga mkono Madaktari hao kugoma.
Makanisa mengi siku hizi yanahubiri utoaji wa sadaka wengine wakienda mbali zaidi kwa kuhimiza wahumi watoe sadaka za noti na si koini(wakilenga minimum sadaka itakuwa 500/=) lakini wanashindwa kuangalia hali ya uchumi wa jamii husika kupanda na kushuka kwa uchumi wao hawaelewi kuwa utawala wa kidunia unahusika vipi, hivo lusekelo kusema hivo simshangai kabisa hawezi kuunganisha matukio na kugusa chanzo cha ugonjwa badala yake anataka kutibu dalili. Hawa ndo wanaokemea magonjwa ya minyoo badala ya kufundisha elimu ya afya. Jamani swala la kiroho lishugulikiwe kiroho na la kimwili litatuliwe kimwili. Hili la madaktari ni la kimwili halitatuki kwa upakoHivi huyu mchungaji anafikiria vizuri weli?
Kwa hili yupo sahihi 100%.
Mchungaji uko sahihi. Hawa Madaktari ni wauaji zaidi wauaji wa Albino kwani uongo? Nawashangaa sana wanaunga mkono Madaktari hao kugoma.
naona mzee una badilika kama kinyonga. post zako nyingine una msimamo kama huu,lakini hapa unamponda mwenzako.Huyu anatofauti na mzee matonya ??
Mchungaji uko sahihi. Hawa Madaktari ni wauaji zaidi wauaji wa Albino kwani uongo? Nawashangaa sana wanaunga mkono Madaktari hao kugoma.