Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,683
- 8,830
Mwinjilisti maarufu Anthony Lusekelo a.k.a Mzee wa Upako ametangaza kuanza kutoa kikombe kama Mnyakyusa mwenzie Ambilikile Mwasapile afanyavyo kule Loliondo.
Tiba yake hiyo itaanza rasmi kutolewa kanisani kwake siku ya Jumapili, wote mnakaribishwa na kikombe ni bure, huna haja ya kubeba pesa yoyote
Tiba yake hiyo itaanza rasmi kutolewa kanisani kwake siku ya Jumapili, wote mnakaribishwa na kikombe ni bure, huna haja ya kubeba pesa yoyote