Jonathan Kiula
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 314
- 99
Nimesikia mzee wa Upako akikemea siasa za Chuki ndani ya CCM wakati yeye alijitangaza kuwa Kampeni manaja wa Jk 2010.Hata hivyo yeye Mzee wa Upako anachuki kubwa na Askof Mwasata katibu mkuu PCT.Askof Mwasota ndiye aliye mchukua mzee wa Upako Mby baada ya maombi ya mama yake .Mwasota alimfundisha Mzee wa upako kozi ya Uchungaji na kufungua tawi la Kibangu.Baada ya kupata sadaka nyingi Mch.Lusekelo akampindua Askof Mwasota na kujiita Mzee wa upako na kusajili upya.Hadi leo Mzee wa Upako haelewani na Askof Mwasota.Mwaka 2010 Mzee Upako akiwa kampenia Jk alifanya njama na kumuweka ndani Askof Mwasota kwa kisingizio kuwa amemuibia Tsh20m, Kwa kutuma majambazi.RPC alituma watu wake na kufanya uchunguzi ikabainika kuwa ni chuki
Za kidini na Madaraka yalitokana yalitokana
duh ni kweli ndugu yangu hayo!? basi tuendako ni kubaya kuliko tutokako