My hairs! Hivi amewahi kuisoma katiba huyu mchungaji! Hawa ndio wale wanaenjoy mazingira wanayoandaliwa na waumini na fedha za sadaka, wanachojua wao ni kuwa nchi hii ni ya maziwa na asali![/QU Nimeona jambo jipya na la ajabu Duniani! Mtu wa darasa la saba kumpinga mtaluma wa ngazi ya prof!