Mzee wa Upako aishukia serikali

Mbinguni kutakuwa na Mchanganyiko wa Wakatoliki, Walutheri, Wasabato, Walokole,Waanglikana, wa TAG, wa EAGT nk provided that wameyashika na Kuyaishi Maisha ya Kikristo

Jehanam kutakuwa na Mchanganyiko wa Wakatoliki, Walutheri, Wasabato, Walokole,Waanglikana, wa TAG, wa EAGT nk provided that hawakuyashika na Kuyaishi Mafundisho ya Yesu

Biblia inasema watu wataangamia kwa Kukosa Maarifa, Maarifa ya kwenda Mbinguni ni Kumtumikia Mungu kwa Moyo wako wote, kumpenda jirani yako kama unavyojipenda wewe, Kuwanyia/kutowanyia wengine mambo ambayo wewe ungependa/usingependa wakufanyie/wasikufanyie

Kukaa hapa na Kupoteza Muda wa Kubishana lipi ni kanisa na lipi si kanisa la Kistro inaonyesha ni jisni gani tulivyofilisika na namna gani tusivyojua ABC za kuurithi Ufamle wa Mungu Yohana Mtakatifu 14:6 na kuendelea!

Tusipokuwa makini Yesu atatukuta tukiwa bize kutafuta ukweli wa lipi ni kanisa lake

Mtakatifu paulo na Anasema dini iliyo ya Kweli ni kwenda kuwatazama wagonjwa nk, yaani kufanya Matendo ya Upendo kwa Wenzetu

Ndugu zangu ili muweze kuurithi Ufalme wa Mungu ni Lazima mpendane kama Yesu alivyotupenda, kama Mungu alivyotupenda hata akamtoa mwanae wa pekee ili kila amwamiaye asipotee bali apate uzima wa milele

Mtakatifu Paulo anasisitiza juu ya Upendo, anasema kwama Hata nikinena kwa Lugha za Wanadamu na Malaika kama sina Upendo mimi si kitu kabisa na sifai Mbele za Bwana, hata nikiwa na Imani ya Kuhamisha Milima kama sina Upendo mimi si kitu na sifai Mbele za Bwana.

Ndugu zangu katika Kristo ikibidi hata Tuwachallenge Viongozi wetu wa Kanisa ambako wanahamisha sana juu ya Utoaji je Wanawakumbuka Vipi Ndugu zetu katika Kristo wanaoteseka Kilosa kwa Mafuriko? Au wao kuomba Utukufu kwa Serikali za Kibinadamu ndiyo Kipaumbele? Wana JF wenzangu wapendwa katika Kristu je Tumehamasika vipi kuchangia Wahanga wa Mafuriko ya Kilosa au tunakesha hapa tukishabia hizi lebbel zetu za Ukatoliki, Ulokole n.k Je Bwana Yesu anapendezwa nasi?

Tujichunguze Ndugu zangu tuone ni kwa namna tunatekeleza yale aliyotuagiza Bwana wetu Yesu Kristo, Yesu aliwafariji Wagonjwa hata Wafiwa yatupasa kufanya hivyo ili tuweze kuurithi Ufalme ambao tumeahidiwa katika Ile Sura ya 14:2-4 ya Injili ya Mtakatifu Yohane

Mwisho: Changia wahanga wa Mafuriko Kilosa ili Tuonyeshe Upendo ambao Bwana wetu Yesu Kristo amekuwa akiuhubiri katika miaka yake 33 ambayo aliishi katika hii Dunia

Tumsifu Yesu Kristo, Milele Amina
 
Achana na Hii Thread

Njoo huku

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ia-zaidi-ya-watanzania-1-200-wamechangia.html

Hata Yesu na Malaika zake watafurahi maana utakuwa unatimiza/unafanya Jambo ambalo Yesu amekuwa akilisisitiza

Acha Kuwapigania akina Lusekelo, Pengo, Kakobe wao wako huko wankula Kuku kwa mrija kwa kutumia michango tunayotoa.

Njoo huku

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ia-zaidi-ya-watanzania-1-200-wamechangia.html

Weka Mgomo kutoa Sadaka Kanisani au Msiktini na Uwatolee hawa Wahitaji

Yesu alisema Msipowapenda Jirani zenu ambao mnaishi nao kila siku na kuwaona utakuwa ni UNAFIKI kusema tunampenda Mungu ambaye hata hatujawahi Kumwona. Mpende Mungu wako kwa kutumia hawa wa Kilosa walio Sura na Mfano wake yeye

Kwa Mara nyingine Yesu anakuita

Huku
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/49373-harambee-saidia-wahanga-wa-mafuriko-tanzania-zaidi-ya-watanzania-1-200-wamechangia.html

Kristu ndiye Tumaini letu
 
Ndugu Waberoya,
Tafadhali, unaweza kufafanua hapo kwanini Lusekelo aliogopa? (ref red font)

Si kwa ubaya, Kulola na Lazaro ndio fathers wa makanisa ya kilokole, Lusekelo akisema jambo negative kwa hawa tu, waumini watamkimbia!!! aha aha aha, kwani hana akili? ndiyo nika challenge kuwa naye Kulola anapata attention ya serikali, data tunazo, na inajulikana yet Lusekelo hakumwona akawataja wengine! anaheshimiwa sana

Mimi sio mdini japo nina dini, lakini ningependa kujua kwa nini "walokole" wana tabia ya kutenga watu wasio walokole kama wao kwa kuwaita "watu wa mataifa"?! (Nilishuhudia hili nikiwa high school na chuo). Kuna tofauti yoyote kati ili na lile la waislamu kuita watu wengine "kafir"?!
Nadhani ukiwa high school na vyuo is even worse.But believe me I have been born again christian for 8 yrs, na moja ya vitu ambavyo wachungaji wanahimiza ni watu kunodokana na hizo tabia. Ni makosa from bible point of view, na wote wanaofanya hivyo, huwa tunawachukulia ni wachanga au ujinga, wa kutoelewa neno la Mungu, wakifundishwa baadae hubadilika.

kisaokolojia unapomtenga mtu ni alama ya kujikweza kwani unajiamini wewe ni mtakatifu sana, wakati in the sight of God we are all equally, tofauti yetu ni zile priveleges tunazopata kutokana na kuacha tabia fulani mbaya.

I repeat your concern is valid those people are wrong, lakini kumbuka sio wote. wazazi wangu mimi wakatoliki, marafiki wengi walutheri, wadogo zangu wakatoliki na lutheri, can I possibly excommunicate them simply by the name of Jesus??? definitely not!

Ukiwaona ujue hawajajua bado maandiko...
 
Mbinguni kutakuwa na Mchanganyiko wa Wakatoliki, Walutheri, Wasabato, Walokole,Waanglikana, wa TAG, wa EAGT nk provided that wameyashika na Kuyaishi Maisha ya Kikristo

Jehanam kutakuwa na Mchanganyiko wa Wakatoliki, Walutheri, Wasabato, Walokole,Waanglikana, wa TAG, wa EAGT nk provided that hawakuyashika na Kuyaishi Mafundisho ya Yesu

Biblia inasema watu wataangamia kwa Kukosa Maarifa, Maarifa ya kwenda Mbinguni ni Kumtumikia Mungu kwa Moyo wako wote, kumpenda jirani yako kama unavyojipenda wewe, Kuwanyia/kutowanyia wengine mambo ambayo wewe ungependa/usingependa wakufanyie/wasikufanyie

Kukaa hapa na Kupoteza Muda wa Kubishana lipi ni kanisa na lipi si kanisa la Kistro inaonyesha ni jisni gani tulivyofilisika na namna gani tusivyojua ABC za kuurithi Ufamle wa Mungu Yohana Mtakatifu 14:6 na kuendelea!

Tusipokuwa makini Yesu atatukuta tukiwa bize kutafuta ukweli wa lipi ni kanisa lake

Mtakatifu paulo na Anasema dini iliyo ya Kweli ni kwenda kuwatazama wagonjwa nk, yaani kufanya Matendo ya Upendo kwa Wenzetu

Ndugu zangu ili muweze kuurithi Ufalme wa Mungu ni Lazima mpendane kama Yesu alivyotupenda, kama Mungu alivyotupenda hata akamtoa mwanae wa pekee ili kila amwamiaye asipotee bali apate uzima wa milele

Mtakatifu Paulo anasisitiza juu ya Upendo, anasema kwama Hata nikinena kwa Lugha za Wanadamu na Malaika kama sina Upendo mimi si kitu kabisa na sifai Mbele za Bwana, hata nikiwa na Imani ya Kuhamisha Milima kama sina Upendo mimi si kitu na sifai Mbele za Bwana.

Ndugu zangu katika Kristo ikibidi hata Tuwachallenge Viongozi wetu wa Kanisa ambako wanahamisha sana juu ya Utoaji je Wanawakumbuka Vipi Ndugu zetu katika Kristo wanaoteseka Kilosa kwa Mafuriko? Au wao kuomba Utukufu kwa Serikali za Kibinadamu ndiyo Kipaumbele? Wana JF wenzangu wapendwa katika Kristu je Tumehamasika vipi kuchangia Wahanga wa Mafuriko ya Kilosa au tunakesha hapa tukishabia hizi lebbel zetu za Ukatoliki, Ulokole n.k Je Bwana Yesu anapendezwa nasi?

Tujichunguze Ndugu zangu tuone ni kwa namna tunatekeleza yale aliyotuagiza Bwana wetu Yesu Kristo, Yesu aliwafariji Wagonjwa hata Wafiwa yatupasa kufanya hivyo ili tuweze kuurithi Ufalme ambao tumeahidiwa katika Ile Sura ya 14:2-4 ya Injili ya Mtakatifu Yohane

Mwisho: Changia wahanga wa Mafuriko Kilosa ili Tuonyeshe Upendo ambao Bwana wetu Yesu Kristo amekuwa akiuhubiri katika miaka yake 33 ambayo aliishi katika hii Dunia

Tumsifu Yesu Kristo, Milele Amina

Message received,

stay blessed,

Thanks.
 
Hawa wagawa upako nao mara nyingine mtihani. Wanalazimisha uheshimiwa badala ya kufanya kazi vizuri ili matokeo ya kazi zao ziwajengee uheshimiwa. Mi na shaka sana na hawa self made bishops. Credetials zao zinatakiwa kufanyiwa tafiti vinginevyo watulie wakisali huko makanisani mwao.
 
Si kwa ubaya, Kulola na Lazaro ndio fathers wa makanisa ya kilokole, Lusekelo akisema jambo negative kwa hawa tu, waumini watamkimbia!!! aha aha aha, kwani hana akili? ndiyo nika challenge kuwa naye Kulola anapata attention ya serikali, data tunazo, na inajulikana yet Lusekelo hakumwona akawataja wengine! anaheshimiwa sana


Nadhani ukiwa high school na vyuo is even worse.But believe me I have been born again christian for 8 yrs, na moja ya vitu ambavyo wachungaji wanahimiza ni watu kunodokana na hizo tabia. Ni makosa from bible point of view, na wote wanaofanya hivyo, huwa tunawachukulia ni wachanga au ujinga, wa kutoelewa neno la Mungu, wakifundishwa baadae hubadilika.

kisaokolojia unapomtenga mtu ni alama ya kujikweza kwani unajiamini wewe ni mtakatifu sana, wakati in the sight of God we are all equally, tofauti yetu ni zile priveleges tunazopata kutokana na kuacha tabia fulani mbaya.

I repeat your concern is valid those people are wrong, lakini kumbuka sio wote. wazazi wangu mimi wakatoliki, marafiki wengi walutheri, wadogo zangu wakatoliki na lutheri, can I possibly excommunicate them simply by the name of Jesus??? definitely not!

Ukiwaona ujue hawajajua bado maandiko...

MATAYO 10:34 'MSIDHANI NIMEKUJA KULETA AMANI DUNIANI LA! SIKUJA KULETA AMANI BALI UPANGA 35 KWA MAANA NALIKUJA KUMFITINI MTU NA BABAYE, NA BINTI NA MAMAYE, NA MKWE NA MKWE MTU 36 NA ADUI ZA MTU NI WALE WA NYUMBANI MWAKE 37 APENDAE BABA AU MAMA KULIKO MIMI, HANISTAHILI, WALA APENDAE MWANA AU BINTI HANISTAHILI,WALA MTU ASIECHUKUA MSALABA WAKE AKANIFUATA HANISTAHILI 39 MWENYE KUIONA NAFSI YAKE ATAIPOTEZA, NAE MWENYE KUIPOTEZA NAFSI YAKE KWA AJILI YANGU ATAIONA' --Kweli waweza kuwa ndani ya wokovu kwa miaka nane au hata ishirini ukiwa na utapiamlo wa kiroho(spiritual amnesia). Mtoto wa mwezi anyweshae maziwa yasiyoghoshiwa ana afya kiroho kukuzidi mbali!!

**ATTENTION P/SE -THE MASSAGE HAS BEEN SENT BY PEASANT, AND QUOTED WITH WABEROYA
 
kanisa katoliki si kanisa tu.......

ni KANISA TAKATIFU KATOLIKI LA MITUME.......

Kwa walioenda rome wataiona historia ya ukristo inayoanzia ISRAEL...Baada ya kristo kupalizwa mbinguni ...wale mitume wake chini ya petro ndio waliobaki kuendeleza ...na katika kanisa la St peter basillica ndipo baadhi ya mitume wa kale wamezikwa ....pamoja na kumbu kumbu zingine zikiwemo mavazi aliyovaa kristo...

moja ya makanisa ya mwanzo kujitenga ni LUTHERAN..lakini kwa ujumla ndani ya katoliki makanisa yaliyoanzia hapo yanajulikana kama PROTESTANTS....Mazungumzo yamekuwa yakiendelea kurudisha kanisa moja aliloacha kristo...lakini ndani ya lutheran ..ndimo yalimozaliwa makanisa kama ASSEMBLY OF GOD,METHODIST...etc etc..Assembly of God ..LINGeweza kuwa kanisa kubwa sana lakini ndani yake ndipo makanisa UYOGA yameanzia na kulimaliza nguvu...hasa kwa hapa Tanzania....tatizo ni kuwa utii kwa askofu wao mkuu ni mdogo....inasababisha mtu akishaweza kuwa na wafuasi Kumi tu naye anajitenga...na ndani ya makanisa uyoga ...ndipo inaendelea kugawanyika ...na kuendelea kuota na kuota...na mengine yanakufa....


Kanisa la ANGLICAN lilijitenga baadaye kabisa baada ya mfalme wa uingereza kutofautiana na PAPA...Ndio maana anglikan na katoliki misingi ya ibada inafanana tofauti ni celibacy...mapdre wao wanaowa...tofauti na lutheran anglikan halijazaa makanisa ...

kuna makanisa mengine kama SDA ...hili ni la zamani kabisa siijui historia yake visuri laKINI hili ni tofauti na makanisa kama catholic,lutheran..etc...pia kuna ORTHODOX amabalo nalo linatokana na catholic ..na wanafanana kila kitu ..ila hawa wana msimamo mkali usioyumba kufuata taratibu zao za kiibada...tofauti na katoliki ambao wanaonekana kwenda na wakati na kuheshimu utamaduni wa eneo hadi eneo katika uinjilishaji....

lakini kikubwa ni IMANI na hii inabakia hiztoria tu!!!...
Hii ndio historia sahihi ya mgawanyiko huu wa Wakristo. Kanisa Katoliki mpaka leo leo limakiri kuwa Martin Luther alikuwa na hoja za msingi na ndio maana baadaye zikafanyika juhudi za kurekebisha mambo kadhaa wa kadha kupitia Mitaguso mikuu. Hata hivyo yeye mwenyewe huko alikokwenda yaaliyaparaganya ndio maana wakatokea akina Calvin.

Hawa wagawa upako nao mara nyingine mtihani. Wanalazimisha uheshimiwa badala ya kufanya kazi vizuri ili matokeo ya kazi zao ziwajengee uheshimiwa. Mi na shaka sana na hawa self made bishops. Credetials zao zinatakiwa kufanyiwa tafiti vinginevyo watulie wakisali huko makanisani mwao.
Very true

Si
Nadhani ukiwa high school na vyuo is even worse.But believe me I have been born again christian for 8 yrs, na moja ya vitu ambavyo wachungaji wanahimiza ni watu kunodokana na hizo tabia. Ni makosa from bible point of view, na wote wanaofanya hivyo, huwa tunawachukulia ni wachanga au ujinga, wa kutoelewa neno la Mungu, wakifundishwa baadae hubadilika.

kisaokolojia unapomtenga mtu ni alama ya kujikweza kwani unajiamini wewe ni mtakatifu sana, wakati in the sight of God we are all equally, tofauti yetu ni zile priveleges tunazopata kutokana na kuacha tabia fulani mbaya.

I repeat your concern is valid those people are wrong, lakini kumbuka sio wote. wazazi wangu mimi wakatoliki, marafiki wengi walutheri, wadogo zangu wakatoliki na lutheri, can I possibly excommunicate them simply by the name of Jesus??? definitely not!

Ukiwaona ujue hawajajua bado maandiko...
Hizo sehemu nilizo highlight kwenye blue na red ndio tatizo nitaji nukuu hapo chini

Huu sasa ndio ukweli wenyewe. Anayebisha kuhusu hili ana personal grudge na kanisa Katoliki kwa sababu tu aliyejitoa huko alimlisha maneno ya kuhalalisha kuondoka
kwake.
maana unapojadiliana na mtu ni rahisi sana kujua kuwa ni mpendwa ambaye hakuanzia huko bali kaukwaa upendwa na kuwa mweledi zaidi kuliko hata calvin mwenyewe. Sisemi kwamba umepotea kwa kuwa born again, labda tu kama unasema you are right and the rest are wrong. Lakini katika katika kuchagua njia mpya usitake kupotosha historia maana imeandikwa.



Mzee umeamua kweli, sasa kama hili ndio kanisa mama , kwa nini mafundisho yake yako contrary na biblia?? doctrine ambazo hakuziacha Yesu zilitokea wapi?

Hili suala nilikuuliza huko nyuma maana ulilleta hukujibu na badala yake umezidi kusisitiza. Hebu weka hapa hayo "contrary to the Bible mafundisho" tuyadadavue
 
MATAYO 10:34 'MSIDHANI NIMEKUJA KULETA AMANI DUNIANI LA! SIKUJA KULETA AMANI BALI UPANGA 35 KWA MAANA NALIKUJA KUMFITINI MTU NA BABAYE, NA BINTI NA MAMAYE, NA MKWE NA MKWE MTU 36 NA ADUI ZA MTU NI WALE WA NYUMBANI MWAKE 37 APENDAE BABA AU MAMA KULIKO MIMI, HANISTAHILI, WALA APENDAE MWANA AU BINTI HANISTAHILI,WALA MTU ASIECHUKUA MSALABA WAKE AKANIFUATA HANISTAHILI 39 MWENYE KUIONA NAFSI YAKE ATAIPOTEZA, NAE MWENYE KUIPOTEZA NAFSI YAKE KWA AJILI YANGU ATAIONA' --Kweli waweza kuwa ndani ya wokovu kwa miaka nane au hata ishirini ukiwa na utapiamlo wa kiroho(spiritual amnesia). Mtoto wa mwezi anyweshae maziwa yasiyoghoshiwa ana afya kiroho kukuzidi mbali!!

**ATTENTION P/SE -THE MASSAGE HAS BEEN SENT BY PEASANT, AND QUOTED WITH WABEROYA
Wewe ni wa kuonea huruma hujayaelewa maandiko hayo. Yesu kusema kwamba hakuja kuleta amani bali upanga hakumaanisha waamini (wafuasi wake) wawatenge wale wasioamini au wawachukie. Alimaanisha kwamba wafuasi wake watatendwa vibaya na wasioamini. Kumbe wawe tayari kuteseka kama Yeye alivyoteseka. Wasitetereke katika imani. Kumbe ukosefu wa amani ulitegemewa uletwe na wasioamini, na siyo kinyume chake.
 
Hii ndio historia sahihi ya mgawanyiko huu wa Wakristo. Kanisa Katoliki mpaka leo leo limakiri kuwa Martin Luther alikuwa na hoja za msingi na ndio maana baadaye zikafanyika juhudi za kurekebisha mambo kadhaa wa kadha kupitia Mitaguso mikuu. Hata hivyo yeye mwenyewe huko alikokwenda yaaliyaparaganya ndio maana wakatokea akina Calvin.


Very true


Hizo sehemu nilizo highlight kwenye blue na red ndio tatizo nitaji nukuu hapo chini

Huu sasa ndio ukweli wenyewe. Anayebisha kuhusu hili ana personal grudge na kanisa Katoliki kwa sababu tu aliyejitoa huko alimlisha maneno ya kuhalalisha kuondoka
kwake.
maana unapojadiliana na mtu ni rahisi sana kujua kuwa ni mpendwa ambaye hakuanzia huko bali kaukwaa upendwa na kuwa mweledi zaidi kuliko hata calvin mwenyewe. Sisemi kwamba umepotea kwa kuwa born again, labda tu kama unasema you are right and the rest are wrong. Lakini katika katika kuchagua njia mpya usitake kupotosha historia maana imeandikwa.





Hili suala nilikuuliza huko nyuma maana ulilleta hukujibu na badala yake umezidi kusisitiza. Hebu weka hapa hayo "contrary to the Bible mafundisho" tuyadadavue

Kaka umenena vyema, na historia imeandikwa.Kwa mujibu wako kanisa katoliki la kirumi ni kanisa mama, however Martin Luther aliondoka na unasema wakatoliki wakakiri kuwa Luther alikuwa sahihi na mkarekebisha. Sijajua kanisa aliloliacha Yesu lilipoteza wapi imani sahihi mpaka Luther akaja kugundua kuna tatizo.Kanisa mama was supposed to be correct in her doctrine! sijajua tatizo lilitokea wapi.Imani za Kusali Rozari, bikra maria, pargutory,mapadri kutooa,kutubu kwa padre,infants baptism n.k sijaziona kwenye biblia! However I as RC can answer all those questions!! history is written!

Sijasema unijibu, nimesema take me wrong katika post zote.

Ndege ya uchumi kasisitiza tuache hii mijadala twende kuchangia waliopatwa na mikasa ya mafuriko.

So I will not post anymore posts in this thread, Please consider/take me wrong.

After all hii ni mijadala ya wazi, if your beliefs are correct! even if the all world will say otherwise, let not change what you believe. So go on buddy..that was just a piece of challenge, that you may encounter in your life.

After all we are one, arent we?


note that I like to chellenge even my own doctrine from there I grow spritually and mentally, I dont want to be a blind follower ''kwa sababu dini ya wazazi''!

Finally being Born again means nothing to me if and only if I will count myself superior than others, and will never claim the rest are wrong, I have never claimed before..WHY? even churches hwere I have passed through still I have so many questions!!. To explore my beliefs is what I believe is the most effective way of knowing and strengthen my faith. Thats why akina mzee wa Upako nina wachallenge, and believe me most of the time I win! if and only if the bible is the compass, manual and foundation of our faith! otherwise is human politics!na kwa sababu tumeruhusu human politics ndio maana leo tunalalamika kuna chaos za makanisa!! why?? who started this music?

first verse of the bible reads;

Genesis 1:1 In the beginning God created the heavens and the earth.......

last verse of the bible reads;

22:21 The grace of our Lord Jesus Christ be with you all. Amen
 
MATAYO 10:34 'MSIDHANI NIMEKUJA KULETA AMANI DUNIANI LA! SIKUJA KULETA AMANI BALI UPANGA 35 KWA MAANA NALIKUJA KUMFITINI MTU NA BABAYE, NA BINTI NA MAMAYE, NA MKWE NA MKWE MTU 36 NA ADUI ZA MTU NI WALE WA NYUMBANI MWAKE 37 APENDAE BABA AU MAMA KULIKO MIMI, HANISTAHILI, WALA APENDAE MWANA AU BINTI HANISTAHILI,WALA MTU ASIECHUKUA MSALABA WAKE AKANIFUATA HANISTAHILI 39 MWENYE KUIONA NAFSI YAKE ATAIPOTEZA, NAE MWENYE KUIPOTEZA NAFSI YAKE KWA AJILI YANGU ATAIONA' --Kweli waweza kuwa ndani ya wokovu kwa miaka nane au hata ishirini ukiwa na utapiamlo wa kiroho(spiritual amnesia). Mtoto wa mwezi anyweshae maziwa yasiyoghoshiwa ana afya kiroho kukuzidi mbali!!

**ATTENTION P/SE -THE MASSAGE HAS BEEN SENT BY PEASANT, AND QUOTED WITH WABEROYA

Wewe ni wa kuonea huruma hujayaelewa maandiko hayo. Yesu kusema kwamba hakuja kuleta amani bali upanga hakumaanisha waamini (wafuasi wake) wawatenge wale wasioamini au wawachukie. Alimaanisha kwamba wafuasi wake watatendwa vibaya na wasioamini. Kumbe wawe tayari kuteseka kama Yeye alivyoteseka. Wasitetereke katika imani. Kumbe ukosefu wa amani ulitegemewa uletwe na wasioamini, na siyo kinyume chake.

.
NI KWELI KABISA KWAMBA UKOSEFU WA AMAANI ULITEGEMEWA ULETWE NA WASIIOAMINI. Hakuna waliowahi kuwakosesha amani wafuasi wa kweli wa Kristo na kiwaua kama lilivyofanya kanisa la RC. Ukisoma historia ya Shumaker CLORIOS REFORMATION unakuta kanisha la Rc limewaua mashahidi wa Kristo walioorodheshwa milioni sitini na nane Note Shumaker ni mkatolic. Pia ukisoma historia huru kabisa ya Dean A Peterson kitabu cha kwanza na cha pili utakuta jinsi Rc iliwachinja mamilioni ya mashahidi wa Kristo bila huruma. Mabaraza yao ya Inguisition yamefanya ukatili usiomithilika. Mauaji haya yaliyokuwa yalipate kanisa la Kristo mbeleni Yesu aliyazungumzia kwa kumwonyesha Yahana mtume wake. Ufun 6:7 kwenye mhuri wa kwanza mpaka wa nne. Mauaji haya yaliwahusisha pia wayahudi na tulimshuhudia papa paulo wa pili mwaka 1999 akiwaomba radhi wayahudi kwa mauaji waliyowafanyia. Ila cha msingi ambacho papa paulo wa pili hakuelewa ni kwamba sio mtu aliua kama mtu bali fundisho la RC ndilo lililosababishia mauaji haya ya halaiki kuu. Sasa alichopaswa kufanya ni kuyafutilia mbali makanuni ya imani ya Rc yaliyo kinyume na biblia. Kufanya hivyo kungeepusha mauaji mengine yanayoweza tokea. Lakini haiwezekani neno la Mungu lisitende kusudi lake. Zitakuwepo kwa vita ya hermagedon
 
Wasalaam!
Mchango wangu kwa mzee wa upako ni kwamba, kwa ufupi huwa nabarikiwa sana na vipindi vyake maana pamoja na kuonekana anapiga porojo sana lakini kama ni mtu makini na wa kujifunza lazima utaondoka na kitu. Tatizo ni kwamba watu hawajui kwamba, NO BODY IS PERFECT UNDER THE SUN(EXCEPT JESUS ONLY) hivyo Mzee wa Upako anaweza kosea lakini ni mapungufu ya kibinadam kama binadam wengine wanavyokosea.
Nafikiri kinachotakiwa ni kwamba mzee wa upako anatakiwa kujua watu anaoongea nao wengine ni wachanga kiroho na wengine ni wazima kiroho hivo ajaribu kubalance wakati anahubiri otherwise utakuta wanaolalamika wengi ni wale wachanga maana hawamuelewi vyema jinsi anavyohubiri , inakuwa kama anawachanganya .
Ukweli ni kwamba Lusekelo anahubiri kwa namna ambayo wale wenye ukomavu wa maswala ya kiroho tu ndo watakaomwelewa vyema anamanisha nini.
Kwa sisi tunaomuelewa mzee wa upako tunafaidi mengi sana mtu asikwambie.

Thanks in advance!!!

Contacts zeepipo@yahoo.com
 
MCHUNGAJI wa Kanisa la Gospel Revival Centre, Antony Lusekelo maarufu kama Mzee wa Upako, ameishukia serikali na Idara ya Usalama wa Taifa kwa kukumbatia zaidi madhehebu ya Katoliki na Lutherani.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mzee wa Upako aliwaonya viongozi wakuu wa serikali kutoichezea amani iliyopo kwa kubagua madhehebu mengine yanayoitwa ya vichochoroni.

Alionya kwamba ni rahisi kuipoteza amani iliyopo sasa kuliko kuitafuta, hivyo aliwataka viongozi wa serikali kuacha kuyadharau baadhi ya makanisa kutokana na ukweli kwamba wanaohubiri injili ni walinzi bora wa rasilimali watu katika kutunza amani ya nchi.

“Makanisa ni kama makabila, hivyo kitendo cha serikali kuwapendelea zaidi baadhi ya viongozi wa dini ni kutishia ustawi wa amani iliyopo.

“Serikali inalea sana makanisa haya, maaskofu wengine wanapewa passport za diplomat, wakipita popote hawakaguliwi, wakati wengine tukipita uwanja wa ndege pale tunakaguliwa hadi soksi…hii inaonyesha kwamba hawatuamini,” alisema na kuongeza kwamba sheria ya usajili wa makanisa ni moja hivyo anashangazwa na ubaguzi wa aina hii.

Aidha, aliwatahadharisha viongozi wa serikali kukumbuka yaliyotokea Rwanda ambako kwa asilimia kubwa kanisa lilichochea mauaji ya kimbari hali iliyosababisha washitakiwa wakuu katika kesi ile kuwa viongozi wa dini.

Huku akionyesha kujiamini sana, alisema vyombo vya usalama wa taifa vimelala na kwamba havitambui wajibu wao kutokana na ushauri mbaya hasa kwa upande wa madhehebu aliyosema huitwa ya kikanjanja kutothaminiwa.

Mchungaji huyo ambaye makao makuu ya kanisa lake ni Ubungo Kibangu, jijini Dar es Salaam alisema pasi na shaka kwamba dharau ya viongozi wa serikali dhidi ya makanisa hayo imekithiri kiasi cha kutodiriki kujibu hata barua za mwaliko wanazopewa na wachungaji.

Akitolea mfano aina ya ubaguzi huo, aligusia sakata la upitishwaji wa umeme wa msongo mkubwa wa kilovolti 132 kwenye Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship lililo chini ya Askofu Zachary Kakobe.

“Hili suala linalomsumbua Askofu Kakobe pale, kama umeme huo ungepitishwa St. Joseph akatoka Pengo kulalamika mngesikia Waziri Mkuu amekwenda na angemwomba kwa kumtuliza na mambo yangeisha, lakini sio Kakobe hadi leo anahangaika,” alisisitiza Mzee wa Upako.

Katika hilo aliishauri serikali kumsikiliza Kakobe na kutafuta njia nyingine ya kumsaidia, na kwamba yupo naye bega kwa bega ili kuhakikisha suala hilo linatafutiwa ufumbuzi wa kudumu.

Aidha, alibainisha kwamba wanasiasa wote waliofilisika kisiasa wanakimbilia makanisani hivyo kutahadharisha upatikanaji wa rais ama viongozi wa kiserikali wasiostahili kutokana na shinikizo la viongozi wa dini wanaoonekana kuaminiwa zaidi na serikali huku usalama wa taifa ukiwa kimya.

“Ni hao wanaopewa passport za diplomat ndio wanaoonekana viongozi wa dini, wametusahahu kabisa sisi. Huku tunakoelekea tutawekewa rais hata kichaa kwa sababu tu amepitia kwao.

“Haya makanisa mnayoyaona yana watu wengi mkitoka nje ya mipaka yetu hayana waumini. Yanaheshimika hapa tu, hawajui kuhubiri hadi wawashe mishumaa. Wataishia kubusu pete za viongozi wao huko nje,” alisema alipokuwa akijibu maswali kutoka kwa waandishi wa habari.

Hata hivyo, aliweka wazi mapenzi yake kwa Rais Jakaya Kikwete na kusema anatamani aendelee kuongoza Tanzania. “Binafsi mimi kama Lusekelo, namfagilia Rais Kikwete, natamani aendelee kuongoza,” alisema.


Source: Tanzania Daima.

My take.

Mtandao wa makanisa ya Lutherani na Katoliki ni mkubwa sana na umeenea karibu kila sehemu Tanzania.Madhehebu ya akina Mzee wa upako yako mengi sana lakini yako disorganise kiasi kwamba serekali inapata taabu sana jinsi ya kuwasiliana nayo.Utakuta mtumishi wa Mungu anaongoza kanisa lisilokuwa hata jengo [anatumia majengo ya shule] anajiita Askofu na anataka heshima anazopewa Askofu wa kanisa katoliki/Lutherani.Mwingine unakuta kaanzisha kanisa nyumbani kwake kaamua kujita nabii xyz,kanisa lake lina waumini 100 atataka naye kujifaninisha na kina Pengo au Malasusa kwa kweli serekali ipo sahihi kabisa.Makanisa mengine ukiyatazama kwa makini utagundua ni mali ya viongozi,makanisa ya jinsi mara nyingi yanasambaratika wakati viongozi wao wanapofariki au wanapojitokeza baadhi ya waumini wajuaji watakaohoji mambo ambayo viongozi/waanzilishi hawataki kuyaweka wazi.

Makanisa yanayoongozwa na kina mzee wa upako na Askofu Z Kakobe yatatetereka sana siku viongozi wake watakapotangulia mbele ya haki kwasababu misingi yake imejikita zaidi katika vipaji vya uongozi ukilinganisha na makanisa ya Lutherani na Katoliki.

Mzee wa upako ameenda mbali zaidi kwa kusema kwamba wahubiri wa makanisa ya Lutherani/Katoliki hawajui kuubiri wamebaki kubusu pete tu.Mimi ni muumini wa madhehebu ya Lutherani kila j2 na kwenda kanisani kusali kama ningekutana na mahubiri mabovu/hovyo kwa vyovyote ningekubali kupoteza muda wangu nadhani mzee wa upako kaamua kubwabwaja tu labda ana jambo lingine kaamua kulificha.

Ndg yangu wacha dharau kama alivyosema Mzee wa upako! Nina hakika wewe unakwenda kanisani kama ulivyo sema Jumapili wala huna shida ya kulisoma neno la Mungu na kupata maarifa ya kiroho.
Cha msingi hapa Mzee wa upako yuko sawa kwa sababu watu kama wewe hamtambui huduma inayofanywa na hawa wahubiri. Maana injili inahitajika ifike kote ulimwenguni na hopo ndipo mwisho utakapo fika. Hivyo hizo zote ni huduma iwe chini ya mti ua barabarani kwenye magari lazima watu wapewe neno. Hivyo hawa watumishi wanahitaji msaada pia wa serikali maana wanahubiri amani upendo na kuacha kufanya uovu. Mbona serikali inaweka jeshi polisi na etc.Serikali ya USA inatoa msaada kupitia hizi huduma. Bila shaka umenielewa ndugu yangu.
Hizi huduma zitambuliwe bila ubaguzi na kusaidiwa.
 
.
NI KWELI KABISA KWAMBA UKOSEFU WA AMAANI ULITEGEMEWA ULETWE NA WASIIOAMINI. Hakuna waliowahi kuwakosesha amani wafuasi wa kweli wa Kristo na kiwaua kama lilivyofanya kanisa la RC. Ukisoma historia ya Shumaker CLORIOS REFORMATION unakuta kanisha la Rc limewaua mashahidi wa Kristo walioorodheshwa milioni sitini na nane Note Shumaker ni mkatolic. Pia ukisoma historia huru kabisa ya Dean A Peterson kitabu cha kwanza na cha pili utakuta jinsi Rc iliwachinja mamilioni ya mashahidi wa Kristo bila huruma. Mabaraza yao ya Inguisition yamefanya ukatili usiomithilika. Mauaji haya yaliyokuwa yalipate kanisa la Kristo mbeleni Yesu aliyazungumzia kwa kumwonyesha Yahana mtume wake. Ufun 6:7 kwenye mhuri wa kwanza mpaka wa nne. Mauaji haya yaliwahusisha pia wayahudi na tulimshuhudia papa paulo wa pili mwaka 1999 akiwaomba radhi wayahudi kwa mauaji waliyowafanyia. Ila cha msingi ambacho papa paulo wa pili hakuelewa ni kwamba sio mtu aliua kama mtu bali fundisho la RC ndilo lililosababishia mauaji haya ya halaiki kuu. Sasa alichopaswa kufanya ni kuyafutilia mbali makanuni ya imani ya Rc yaliyo kinyume na biblia. Kufanya hivyo kungeepusha mauaji mengine yanayoweza tokea. Lakini haiwezekani neno la Mungu lisitende kusudi lake. Zitakuwepo kwa vita ya hermagedon

Ina maana basi Kanisa la RC liko kinyume na mafundisho ya Biblia?? Basi mwenye macho haambiwi tazama ataona mwenyewe ukweli uko wazi,na mapambano bado ni yale yale!
Ya Kaisari mwachie Kaisari na ya Mungui mpe Mungu!!!!!!!!!!!!
 
Wasalaam!
Mchango wangu kwa mzee wa upako ni kwamba, kwa ufupi huwa nabarikiwa sana na vipindi vyake maana pamoja na kuonekana anapiga porojo sana lakini kama ni mtu makini na wa kujifunza lazima utaondoka na kitu. Tatizo ni kwamba watu hawajui kwamba, NO BODY IS PERFECT UNDER THE SUN(EXCEPT JESUS ONLY) hivyo Mzee wa Upako anaweza kosea lakini ni mapungufu ya kibinadam kama binadam wengine wanavyokosea.
Nafikiri kinachotakiwa ni kwamba mzee wa upako anatakiwa kujua watu anaoongea nao wengine ni wachanga kiroho na wengine ni wazima kiroho hivo ajaribu kubalance wakati anahubiri otherwise utakuta wanaolalamika wengi ni wale wachanga maana hawamuelewi vyema jinsi anavyohubiri , inakuwa kama anawachanganya .
Ukweli ni kwamba Lusekelo anahubiri kwa namna ambayo wale wenye ukomavu wa maswala ya kiroho tu ndo watakaomwelewa vyema anamanisha nini.
Kwa sisi tunaomuelewa mzee wa upako tunafaidi mengi sana mtu asikwambie.

Thanks in advance!!!

Contacts zeepipo@yahoo.com

nikweli ww unamwelewa vzuri na unatoka na kitu kwa maana unapenda porojo kama ulivyosema ila ufalme wa mungu sio porojo na kuwakashifu wenzako na kuwatukana awajui kuhubiri na kujisifu na kujipa majina ya ajabu ajabu hayo sio mambo waumini wanayaitaji ili waende mbinguni funguka acha ushabiki wa wahubiri tafuta mchungaji wa kweli na sio wa mshahara barikiwa
 
  1. Naombeni cv yake.
  2. Makinisa ya vichochoroni ni Lutherani/Katoliki maana yapo hadi Kilimasera, Idodi, Sumve, Kibondo, Paramawe...
  3. Baada ya muda nitakuwa askofu wa kanisa langu na nitaomba passport ya kidiplomasia. Ameen.
 
MCHUNGAJI wa Kanisa la Gospel Revival Centre, Antony Lusekelo maarufu kama Mzee wa Upako, ameishukia serikali na Idara ya Usalama wa Taifa kwa kukumbatia zaidi madhehebu ya Katoliki na Lutherani.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mzee wa Upako aliwaonya viongozi wakuu wa serikali kutoichezea amani iliyopo kwa kubagua madhehebu mengine yanayoitwa ya vichochoroni.

Alionya kwamba ni rahisi kuipoteza amani iliyopo sasa kuliko kuitafuta, hivyo aliwataka viongozi wa serikali kuacha kuyadharau baadhi ya makanisa kutokana na ukweli kwamba wanaohubiri injili ni walinzi bora wa rasilimali watu katika kutunza amani ya nchi.

"Makanisa ni kama makabila, hivyo kitendo cha serikali kuwapendelea zaidi baadhi ya viongozi wa dini ni kutishia ustawi wa amani iliyopo.

"Serikali inalea sana makanisa haya, maaskofu wengine wanapewa passport za diplomat, wakipita popote hawakaguliwi, wakati wengine tukipita uwanja wa ndege pale tunakaguliwa hadi soksi…hii inaonyesha kwamba hawatuamini," alisema na kuongeza kwamba sheria ya usajili wa makanisa ni moja hivyo anashangazwa na ubaguzi wa aina hii.

Aidha, aliwatahadharisha viongozi wa serikali kukumbuka yaliyotokea Rwanda ambako kwa asilimia kubwa kanisa lilichochea mauaji ya kimbari hali iliyosababisha washitakiwa wakuu katika kesi ile kuwa viongozi wa dini.

Huku akionyesha kujiamini sana, alisema vyombo vya usalama wa taifa vimelala na kwamba havitambui wajibu wao kutokana na ushauri mbaya hasa kwa upande wa madhehebu aliyosema huitwa ya kikanjanja kutothaminiwa.

Mchungaji huyo ambaye makao makuu ya kanisa lake ni Ubungo Kibangu, jijini Dar es Salaam alisema pasi na shaka kwamba dharau ya viongozi wa serikali dhidi ya makanisa hayo imekithiri kiasi cha kutodiriki kujibu hata barua za mwaliko wanazopewa na wachungaji.

Akitolea mfano aina ya ubaguzi huo, aligusia sakata la upitishwaji wa umeme wa msongo mkubwa wa kilovolti 132 kwenye Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship lililo chini ya Askofu Zachary Kakobe.

"Hili suala linalomsumbua Askofu Kakobe pale, kama umeme huo ungepitishwa St. Joseph akatoka Pengo kulalamika mngesikia Waziri Mkuu amekwenda na angemwomba kwa kumtuliza na mambo yangeisha, lakini sio Kakobe hadi leo anahangaika," alisisitiza Mzee wa Upako.

Katika hilo aliishauri serikali kumsikiliza Kakobe na kutafuta njia nyingine ya kumsaidia, na kwamba yupo naye bega kwa bega ili kuhakikisha suala hilo linatafutiwa ufumbuzi wa kudumu.

Aidha, alibainisha kwamba wanasiasa wote waliofilisika kisiasa wanakimbilia makanisani hivyo kutahadharisha upatikanaji wa rais ama viongozi wa kiserikali wasiostahili kutokana na shinikizo la viongozi wa dini wanaoonekana kuaminiwa zaidi na serikali huku usalama wa taifa ukiwa kimya.

"Ni hao wanaopewa passport za diplomat ndio wanaoonekana viongozi wa dini, wametusahahu kabisa sisi. Huku tunakoelekea tutawekewa rais hata kichaa kwa sababu tu amepitia kwao.

"Haya makanisa mnayoyaona yana watu wengi mkitoka nje ya mipaka yetu hayana waumini. Yanaheshimika hapa tu, hawajui kuhubiri hadi wawashe mishumaa. Wataishia kubusu pete za viongozi wao huko nje," alisema alipokuwa akijibu maswali kutoka kwa waandishi wa habari.

Hata hivyo, aliweka wazi mapenzi yake kwa Rais Jakaya Kikwete na kusema anatamani aendelee kuongoza Tanzania. "Binafsi mimi kama Lusekelo, namfagilia Rais Kikwete, natamani aendelee kuongoza," alisema.


Source: Tanzania Daima.

My take.

Mtandao wa makanisa ya Lutherani na Katoliki ni mkubwa sana na umeenea karibu kila sehemu Tanzania.Madhehebu ya akina Mzee wa upako yako mengi sana lakini yako disorganise kiasi kwamba serekali inapata taabu sana jinsi ya kuwasiliana nayo.Utakuta mtumishi wa Mungu anaongoza kanisa lisilokuwa hata jengo [anatumia majengo ya shule] anajiita Askofu na anataka heshima anazopewa Askofu wa kanisa katoliki/Lutherani.Mwingine unakuta kaanzisha kanisa nyumbani kwake kaamua kujita nabii xyz,kanisa lake lina waumini 100 atataka naye kujifaninisha na kina Pengo au Malasusa kwa kweli serekali ipo sahihi kabisa.Makanisa mengine ukiyatazama kwa makini utagundua ni mali ya viongozi,makanisa ya jinsi mara nyingi yanasambaratika wakati viongozi wao wanapofariki au wanapojitokeza baadhi ya waumini wajuaji watakaohoji mambo ambayo viongozi/waanzilishi hawataki kuyaweka wazi.

Makanisa yanayoongozwa na kina mzee wa upako na Askofu Z Kakobe yatatetereka sana siku viongozi wake watakapotangulia mbele ya haki kwasababu misingi yake imejikita zaidi katika vipaji vya uongozi ukilinganisha na makanisa ya Lutherani na Katoliki.

Mzee wa upako ameenda mbali zaidi kwa kusema kwamba wahubiri wa makanisa ya Lutherani/Katoliki hawajui kuubiri wamebaki kubusu pete tu.Mimi ni muumini wa madhehebu ya Lutherani kila j2 na kwenda kanisani kusali kama ningekutana na mahubiri mabovu/hovyo kwa vyovyote ningekubali kupoteza muda wangu nadhani mzee wa upako kaamua kubwabwaja tu labda ana jambo lingine kaamua kulificha.
Kwani naye mzee wa upako anaweza kujiita ana kanisa ,hilo si kanisa bali ni kijiwe cha watu waliokwaza na msongo wa maisha
 
Ndg yangu wacha dharau kama alivyosema Mzee wa upako! Nina hakika wewe unakwenda kanisani kama ulivyo sema Jumapili wala huna shida ya kulisoma neno la Mungu na kupata maarifa ya kiroho.
Cha msingi hapa Mzee wa upako yuko sawa kwa sababu watu kama wewe hamtambui huduma inayofanywa na hawa wahubiri. Maana injili inahitajika ifike kote ulimwenguni na hopo ndipo mwisho utakapo fika. Hivyo hizo zote ni huduma iwe chini ya mti ua barabarani kwenye magari lazima watu wapewe neno. Hivyo hawa watumishi wanahitaji msaada pia wa serikali maana wanahubiri amani upendo na kuacha kufanya uovu. Mbona serikali inaweka jeshi polisi na etc.Serikali ya USA inatoa msaada kupitia hizi huduma. Bila shaka umenielewa ndugu yangu.
Hizi huduma zitambuliwe bila ubaguzi na kusaidiwa.

Heshima kwako Mtumishi wetu,

Mkuu umesoma post yangu vizuri au umekimbilia keyboard !
 
Kwa hili Mh. Lusekelo umechemka. Yesu mwenyewe unayedai kuendeleza mafundisho yake alisema kwamba; ufalme wake siyo wa wadunia hii. Kama hivyo ndivyo, inakuwaje basi mh. Lusekelo ajiangaishe na sifa za hapa duniani! katika matahyo 18:4 Yesu alisema ya kuwa yeyote ajinyenyekezaye kama mtoto mdogo huyo ndiye mkuu katika ufalme wa mbinguni. Kuhusu heshima wanayopewa viongozi wa madhehebu ya katiliki na Lutheran, Mh. Lusekelo hana budi kujua kwamba kwa vigezo vya ufalme wa duniani, heshima ya mtu inategemea wafuasi walio nyuma yake. na hivyo, kwakuwa dhehebu lake lina wafuasi kiduchu haingii akilini anavyoweza kudhubutu kujilinganisha na madhehebu hayo kongwe.
 
Back
Top Bottom