Mimi siamini Kabisa kwamba ni Mungu anayeponya watu kupitia dawa ya Babu.....naamini ni Nguvu nyingine kabisa na Watu ya Babu si wakwanza kutokea hapa Duniani na wote walipotea bila taarifa pamoja na Huduma zao kwa bado naamini Ukweli kuhusu huduma ya babu utaamuliwa Muda tu,.........Yaani siku za babu zinahesabika sana!! Na watu watajua Wazi kwamba Yule hakuwa Mungu....na kitendo cha Mzee wa upako kubariki kinanisikitisha Zaidi kwani Huduma sahii kutoka kwa Mungu inapimwa na neno lake......na kwa mantiki hii napata wasiwasi sana kuhusu Mzee wa Upako katika Hili!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.