kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 256
Baada ya kukataa kusimamishwa na Trafic Police, Mzee wa kibondei alikamatwa kwenye kizuizi cha barabara kilichofuata baada ya radio call kupigwa, mazungumzo yakawa hivi:
Trafic - Mzee mbona ulisimamiswa hukusimama?
Mzee - Mi nimanyile n'manesi kumbe n'wabwanga wa seikali!! (akimaaisha alijua ni manesi kumbe ni polisi)
Trafic - Mzee mbona ulisimamiswa hukusimama?
Mzee - Mi nimanyile n'manesi kumbe n'wabwanga wa seikali!! (akimaaisha alijua ni manesi kumbe ni polisi)