Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,675
wanaume wakiwa wazee wanaitwa Mzee Chizenga,Mzee Klorokwini,Mzee Mtambuzi lakini kwanini wanawake hawaitwi hivyo mfano Mzee Rose1980,Mzee Lizzy,Mzee Ashadii au hata Mzee Josephine03?
kwahiyo?? nini mtazamo wako??? sasa hii iwekwe chit chat ama lugha/??
Wakiwa wanawake wanaitwa bibi wazee.
Angalia mahakamani kuhusu wazee wa baraza wakiwepo wa kike na wa kiume wote huitwa wazee wa baraza hawatofautishwi.
hivi kuna lile neno ajuza!hawa wanawake wetu wa kileo ukiwaita ajuza si wanaweza kukupiga?mfano Smile akizeekazeeka umsalimie "shikamoo Ajuza Smile "si atakuua?
ngoja walimu wa kiswahili waje... mzee kongosho
Mie nakutwanga konde kabisa ajuza limekaa kichawichawi vile
Unaweza ku subsititute ajuza na "kikongwe"?hivi kuna lile neno ajuza!hawa wanawake wetu wa kileo ukiwaita ajuza si wanaweza kukupiga?mfano Smile akizeekazeeka umsalimie "shikamoo Ajuza Smile "si atakuua?