Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,347
- 3,023
mie nina utajiri wa $2.7mill
Hapa jf tuna tatizo la watu waitwao "hate preachers", watu hawa wana chuki na yoyote bila sababu yoyote!, hivi vijisababu vya kutafuta mali zao ni scapegoat ya kujaribu ku justify chuki zao!.
Kwa watu wanaowachukia, hawana jema lolote, kwao kila jambo ni baya tuu!.
Mtu kakueleza aliletewa Hammer , Vogue na Vx katumia akauza, sasa what is a big deal!.
Mtu anakiambia gari yake na kishamba chake bado huamini, unalazimisha lazima kaficha utajiri!.
Please stop this hate!. Acheni chuki, ikizidi sana inageuka ugonjwa unaotokana na "deep rooted neurosis"!.
Pasco.
QUOTE=Tyad of fake Politcs;4575173]Wadau mtoa mada,amejenga hoja naomba tumjibu kwa hoja........................hapo katkat kuna kiin macho na kgugumiz cha mali..tuwe wa kweli..viongoz uwa hawako tayar kutaja mali zao,ni kama ambavyo ww mdau uwez kututajia mshahara wako wa kweli.
ZZK,RJK,MPP Waje na htaarfa za ukweli hapa
Mkuu nilidhani uelewa wako utakuwa "above that",umenikumbushia ile kauli ya Mkapa kuwa watanzania wana wivu wa kike.Yani kiongozi wa umma,anayelipwa kwa kutumia kodi za wananchi,anafuja mali za nchi,akiulizwa eti anasema ni wivu.Hapa jf tuna tatizo la watu waitwao "hate preachers", watu hawa wana chuki na yoyote bila sababu yoyote!, hivi vijisababu vya kutafuta mali zao ni scapegoat ya kujaribu ku justify chuki zao!.
Kwa watu wanaowachukia, hawana jema lolote, kwao kila jambo ni baya tuu!.
Mtu kakueleza aliletewa Hammer , Vogue na Vx katumia akauza, sasa what is a big deal!.
Mtu anakiambia gari yake na kishamba chake bado huamini, unalazimisha lazima kaficha utajiri!.
Please stop this hate!. Acheni chuki, ikizidi sana inageuka ugonjwa unaotokana na "deep rooted neurosis"!.
Pasco.
Aliwahi pia kumtaja na Dr. Mahadhir Mohamed wa Malysia kama role model. Bila shaka Mh. Zitto anao wengiRole model wake ni Zenawi Meles........!
Wewe hapa unalenga kumchafua zitto, kwa taarifa yako hata uvue nguo, Zitto ni Rais 2015 hata kama sio CDM, itakuwa hata ugombea binafsi. nyie endeleeni kuimba kikasuku tu.
Nilikuwa na hisia kama hizo,kumbe siko mwenyewe!Inasikitisha sana,kwasababu kiongozi akishakuwa na sifa hizo,especially hizo mbili za mwisho basi miye humtoa maanani kabisa.Ni mpenda madaraka, mpenda Sifa, mbinafsi, mwenye majivuno
wote hawa ni mamilionea tena kuna ujanja wanatumia ,ambapo kwenye mali zao wana-sajili kwa majina ya ndugu zao na pesa wanatunza katika account za wafanyabiashara wakubwa nchini, ila ipo siku yote yatajulikana .
Wanasiasa wetu na link dhaifu ya integrity yao katika political success.Hapa jf tuna tatizo la watu waitwao "hate preachers", watu hawa wana chuki na yoyote bila sababu yoyote!, hivi vijisababu vya kutafuta mali zao ni scapegoat ya kujaribu ku justify chuki zao!.
Kwa watu wanaowachukia, hawana jema lolote, kwao kila jambo ni baya tuu!.
Mtu kakueleza aliletewa Hammer , Vogue na Vx katumia akauza, sasa what is a big deal!.
Mtu anakiambia gari yake na kishamba chake bado huamini, unalazimisha lazima kaficha utajiri!.
Please stop this hate!. Acheni chuki, ikizidi sana inageuka ugonjwa unaotokana na "deep rooted neurosis"!.
Pasco.
Wewe hapa unalenga kumchafua zitto, kwa taarifa yako hata uvue nguo, Zitto ni Rais 2015 hata kama sio CDM, itakuwa hata ugombea binafsi. nyie endeleeni kuimba kikasuku tu.
atawatesa sana mpaka 2015 ifike mtakuwa mmeshamsema sana.think out of the box yule ni kijana na ana matamanio kama kijana yoyote yule.hulka za kisiasa zisikuongeze kwenye masuala kama haya maana kila mara watu wanawazushia mabaya wapinzaji wao.kwa mfano mtu akimuuliza unatumia gari gani kwa sasa? hawez kumwambia ana hummer kwa sababu alishaliuza but akiulizwa historia yake ya umiliki wa magari ukoje hapo atakupa list ndefu kama alivofanya.kwa hiyo mkuu we potezea tu na fight for urself na ww upate ya kwako maana nchi hii ni ya chukua chakoapa
sorry ni mahayawani mimi ndivyo ninavyojua nashukuru umenisaidia jina la kuwaita sababu nilikuwa nalitafuta asante.Yeah_hata mimi siwapendi hawa,...ila siwezi kuwaita mahayawani.
duh sichangii tena maana umemaliza kila kitu''wewe ni biggest great thinker'' ntakuwa sikutendei haki kama sitakupa like mbili moja ya maneno na ingine ya original safi sana.Wanasiasa wetu na link dhaifu ya integrity yao katika political success.
Tatizo lipo.Kama kweli mleta mada yupo sahihi.Zitto alipojieleza alijileza kitoto na kibishoo.Yaani kwa staili ya kuonyesha miliki na kuvikikinai,kama utetezi wake wa kutomiliki.Logic haipo right hapa, Zitto kaingia katika kundi la wanasiasa wenye kiburi na jeuri kubwa.
wanasiasa wajinga sana.Hasa wa hivi nijinchi vyetu.Ndio maana Lile lipuuzi la UK Gordon Brown lilopigiwa kura kuwa halina mvuto na lilikuwa likimzunguka blair, lililengeshwa na jamaa wa usalama wakachelewa litoa hewami Likadhalilika katika radio an Telivision.Jamaa lilikaribiwa na mama masikini akalilia shida zake kama mwanasiasa likajidai aktk camera kuwa limepta huruma sana.Baada ya kupandisha kioo likamwita yule mama "idiot",bila kujijua kuwalenyewe ndio idiot maarufu ,likajikuta kuwa hayao maneno yalileak na hivyo kurshwa hewani ndio likaomba msamaha aktika TV.
Kama ndivyo kweli Zitto alijibu kijinga hivyo, CDM si mahali pake, kwani always atajikuta akiwa idiot na out of phase. pale linapokuja suala la kutetea wanyonge "Tena wasio wa kigoma".Km ni hivyo akiingia ktik urais ikulu itakuwa discotheque.Sasa kumtaja Mbowe kuwa alipata ride na kulipongeza gari, ni ku boost esteem tuu.
Kushobokea maisha kihivyo inaonyesha jinsi mtu anavyokuwa driven na fashion than personal life style.Inaonyesh ajinsi gani hapati amani ya roho kwa vitu vingi anavyofight so hard kuvipata.Inaonyesha jinsi gani hata hizi kelele za kuutaka urais ni sehemu tuu ya vitu anavyovitafuta kwa nguvu kubwa halafu baaday havimpi amani.Watu kama hawa wanataka kila gari walipate,kila mwanamake mzuri atembea naye, na kila mtu mwenye kuishi maisha watu wanayatazama basi naye ashindane naye ili naye , apate hiyo attention.
Zitto atapambana sana kupata kila kitu akidhani walio navyo wana furaha ila ataishia kuwa disperate looser, kama hawezi define maisha yake vizuri na kujiwekea mipaka ya vitu anavyotaka vimpe happiness.Otherwise hata wanawake atatembea nao sana ila anaweza shangaa hata wamliliao hawapo tayari olewa naye, kwa sababu nao watajua hafai kuwa father.Same in politics and other areas.Zitto atadhani watu wanamchukia ila yeye ndio hana ujasiri wa kukubali ujinga wake, hana ujasiri wa kuzikataa baadhi ya tabia anazodhani zitampatia heshima.
Atang`ang`ana sana kuchukua kila sifa ila atajikuta sifa zote alizonazo hazitoshi wanyang`anya wengine heshima.Na Heshima "respect" hawezi ipata kwa vyovyote kama hatoishi vizuri halafu mwenyezi Mungu amsogeze palipo heshima.
Si kila mtu anaweza pata Money+ Power ----->Respect... wengine wanapata respect bila hela na wengine wanapata vyote bila nguvu.Na wengine wanapamabana sana karibu na powerili waipate wakiamini itawapa respect hadi wanakufa bila respect..kabla hajadefine hao role model wake akamwuulize raila wa kenya kuhusu babake.Ndio anachofight akitimize kumuunze babake.Pia ajue hata kule kijijini kwao kuna role models wengi tuu ,Wazee wasio na kitu ila wanayajua maisha ya mjini kabla ya kurudi kijijini,ambao hawezi waona kwa upofu was fast lane lif ya dar.
Zitto akicheza hataokwenda mbalia zaidi ya kuswitch between "being famous" and "being infamous" ila si "respect person".Na hata akipata power atakosa respect na hizo satisfaction haitokuwepo na hivyo kushia kuwa desperate looser.Na desperate looser mwenye power huwa huishia ua wote aonao kuwa wanamzuia kupata respect, yaani anakuwa sadist km Ghaddafi.Sishangazwi na mapenzi yake kwa ghaddafi,kwani alikuwa na mvuto kwa naive Zitto,aliwahi ulizia bungeni kuhusu mataifa ya maghribu kuingialia Libya.Bwana mdogo hakuona ana compromise nini.