Elisha Ray
JF-Expert Member
- Mar 19, 2012
- 323
- 94
Kwa kweli naona kama Mh. Pinda umewekwa kwenye wakati mgumu katika position yako ya PM. Kwani kama ni kweli rais anasema 'ni upepo tu utapita' kweli ana uchungu na nchi hii? Kama waliompigia kura wanamwambia atoe baadhi ya mawaziri wabovu nae hataki hata kwa ushauri wa PM basi ni kweli haambiliki na PM bora kama wewe si mmoja wao na una uchungu na nchi hii uachie ngazi ujitofautishe nao na iwe rahisi kwako pia upinzani ukichukua nchi upate walau kazi wakati hawa wengine wakiwa jela huku wamefilisiwa mali walizoiba!!!
Wadau mnasemaje?
Wadau mnasemaje?