Siku zote wazee ni kisima cha busara ndani ya jamii!
Kazi ya Mungu haina makosa, Mungu amuweke mahali stahili Mzee Mwinyimvua!
heei! Sheikh Yahya, John mwanjelwa now Mzee Mwinyimvua? duh! CCM IMEKWISHA, DALILI NI HZ SASA! Mungu awapumzishe mahala pema peponi!
Rais Kikwete kushoto mzee Athumani Mwinyimvua katikati na kulia Mzee Ruksa.
Mkuu mwisho wa dunia kesho 21/05/2011.
Rais Kikwete kushoto mzee Athumani Mwinyimvua katikati na kulia Mzee Ruksa.
mahali stahili