Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Siku moja baba mwenye nyumba alirudi ghafla nyumbani na kumkuta mkewe na House boy wake wakiivunja amri ya sita.
Mzee kwa hasira akamkaripia house boy wake.
Mzee: Wewe mwehu Ninakulipa ili ufanye huo upuuzi wako.
House boy: Hapana mzee, hii naifanya Free of charge.
Mzee kwa hasira akamkaripia house boy wake.
Mzee: Wewe mwehu Ninakulipa ili ufanye huo upuuzi wako.
House boy: Hapana mzee, hii naifanya Free of charge.