Mzee-Mwanakijiji,....... Yupo sawa?

Gigo

JF-Expert Member
Aug 6, 2006
456
46
Mwanakijiji Yupo sawa, japo sina uhakika..Kwasababu -bado sina muda mwingi wa kusoma Post zake zote kwa uzuri..Ila nina amini akili yangu ! katika kutoa maamuzi ya nini niseme au nini nisiseme labda mpaka baadae..

Hapa nina mzungumzia Mwanachama mwenzetu wa JF -Mzee-Mwanakijiji
Nina kubaliana nae wakati mwingine na nina mchokoza- kwa Kumfanyia fujo...Laini bila yeye nisinge pata muda mzuri wa kufikiria Hili neno lake jipya-ana sema-'Ideological-battle' ??sorry !! Ideology-battle!!Kitu kama hicho..

Sasa hii battle ni kati ya wana JF au? Battle ya nani na nani?
hebu Nifananulieni vizuri!!
 
Mwanakijiji Yupo sawa, japo sina uhakika..Kwasababu -bado sina muda mwingi wa kusoma Post zake zote kwa uzuri..Ila nina amini akili yangu ! katika kutoa maamuzi ya nini niseme au nini nisiseme labda mpaka baadae..

Hapa nina mzungumzia Mwanachama mwenzetu wa JF -Mzee-Mwanakijiji
Nina kubaliana nae wakati mwingine na nina mchokoza- kwa Kumfanyia fujo...Laini bila yeye nisinge pata muda mzuri wa kufikiria Hili neno lake jipya-ana sema-'Ideological-battle' ??sorry !! Ideology-battle!!Kitu kama hicho..

Sasa hii battle ni kati ya wana JF au? Battle ya nani na nani?
hebu Nifananulieni vizuri!!


Je wewe uko sawa? Kwani battle hujui maana yake? Tafuta kamusi.
 
Mwanakijiji Yupo sawa, japo sina uhakika..Kwasababu -bado sina muda mwingi wa kusoma Post zake zote kwa uzuri..Ila nina amini akili yangu ! katika kutoa maamuzi ya nini niseme au nini nisiseme labda mpaka baadae..

Hapa nina mzungumzia Mwanachama mwenzetu wa JF -Mzee-Mwanakijiji
Nina kubaliana nae wakati mwingine na nina mchokoza- kwa Kumfanyia fujo...Laini bila yeye nisinge pata muda mzuri wa kufikiria Hili neno lake jipya-ana sema-'Ideological-battle' ??sorry !! Ideology-battle!!Kitu kama hicho..

Sasa hii battle ni kati ya wana JF au? Battle ya nani na nani?
hebu Nifananulieni vizuri!!

mwenzetu una matatizo tena si kidogo. Sijui ni wapi pagumu kuelewa. Kama ni lugha waulize wataalam. Kama Mwanakjj angetaka kusema JF Battle au member battle si angesema? HIvi unadhani ulipomtukania babake hatukukuona? Sasa unataka kutafuta umaarufu kwa jina lake kama wenzio waliofanya hapa kabla yako. Ushindwe na uregee kabisa. Tafuta njia nyingine. Nyepesi ni kujibu hoja kwa hoja. mmmmhhhh... kwi kwi kwi

asante.
 
Whether ni ideological battle, au battle of ideologies, au clash of ideologies, cha muhimu ni kwamba kuna kitu kinafukuta hapa Tanzania. Inawezekana kuwa si sahihi kusema ni battle of ideologies. Kwa sababu kimsingi watanzania walio wengi wana ideology moja au zinazofanana (kama ukizungumzia kisiasa). Lakini humo ndani kuna watu wanaojiona kuwa wao wanastahili kunufaika zaidi na kuwaona wengine kama ni wajinga, na wengine wanaona kuwa si sahihi kupuuzwa na wanahitaji kuheshimiwa na wanataka kunufaika na raslimali zilizopo nyumbani. Hapa kweli ni kama unaona kuna kitu kama Clash of ideologies au clash of thoughts whatever you wanna call it. Nadhani wataalam wa lugha wanaweza kutafuta phrase appropriate.
 
gigo si umuulize yeye kwenye pm? wewe kuna kitu unatafuta, unakumbuka ulivyotaka kuvuruga mada fulani kuhusu zitto ukaanza ah zitto ameoa?? watu wakasimama kidete, itapendeza ukipeleka kwenye udaku au luhga tudiscuss maana ya ideological battle.
 
Mwanakijiji Yupo sawa, japo sina uhakika..Kwasababu -bado sina muda mwingi wa kusoma Post zake zote kwa uzuri..Ila nina amini akili yangu ! katika kutoa maamuzi ya nini niseme au nini nisiseme labda mpaka baadae..

Hapa nina mzungumzia Mwanachama mwenzetu wa JF -Mzee-Mwanakijiji
Nina kubaliana nae wakati mwingine na nina mchokoza- kwa Kumfanyia fujo...Laini bila yeye nisinge pata muda mzuri wa kufikiria Hili neno lake jipya-ana sema-'Ideological-battle' ??sorry !! Ideology-battle!!Kitu kama hicho..

Sasa hii battle ni kati ya wana JF au? Battle ya nani na nani?
hebu Nifananulieni vizuri!!

Gigo,
Naona ungewasiliana na Mwanakijiji kwenye PM yake,haina haja ya kuleta thread hapa.
 
Hata hilo umeshindwa kulielewa? Basi yapo mashaka juu ya uelewa wako. Au tuseme Gigo = Tambwe + Akwilombe + Msabaha + ??
 
Whether ni ideological battle, au battle of ideologies, au clash of ideologies, cha muhimu ni kwamba kuna kitu kinafukuta hapa Tanzania. Inawezekana kuwa si sahihi kusema ni battle of ideologies. Kwa sababu kimsingi watanzania walio wengi wana ideology moja au zinazofanana (kama ukizungumzia kisiasa). Lakini humo ndani kuna watu wanaojiona kuwa wao wanastahili kunufaika zaidi na kuwaona wengine kama ni wajinga, na wengine wanaona kuwa si sahihi kupuuzwa na wanahitaji kuheshimiwa na wanataka kunufaika na raslimali zilizopo nyumbani. Hapa kweli ni kama unaona kuna kitu kama Clash of ideologies au clash of thoughts whatever you wanna call it. Nadhani wataalam wa lugha wanaweza kutafuta phrase appropriate.

Bila hata ya kukimbilia kwa wataalamu wa Lugha-Bado utaona wafuasi wengi wa mwana kijiji Bado hawaja komaa..Mnacho laumu ni nini?

Kuuliza Zitto ana mke au mchumba in wakera nini? Kiongozi wasasa Hana budi kufahamika vizuri.. anakula nini, ana vaa nini, mchumba wake ni nani? ili itusaidie kujua vizuri hatima yetu...

Tena Nime ona Hata mzee mwana kijiji ana mzarau Mchumba wa ZITTO..
Kwani kuoa ni kufanya ngono tu?
 
Hata hilo umeshindwa kulielewa? Basi yapo mashaka juu ya uelewa wako. Au tuseme Gigo = Tambwe + Akwilombe + Msabaha + ??

Huuu ni mlima kaka- sijui wewe ni dada !!
sasa nincho kwambia ni kwamba Huu ni mlima ina onekana gia unayo itumia haifai kwa sasa...badilisha...

Unajisikiaje mimi nikiwa juu wewe ukibaki chini kwenye viatu vyangu?
 
Gigo,
Hapa JF huwa tunatumia hoja kujibu hoja.Hatuendi na ushabiki!na hatujali ninani amesema au ni mtu gani ametajwa!.Kwa hiyo basi hatutazungumza tu ati kwa kuwa ni mtu fulani amesema au ni jina fulani limetajwa.Jenga hoja ili ujibu hoja period.Uhuru huo unao na tunapenda watu waweke hoja mbalimbali ili tuweze kurekebishana na kuelimishana.Na kama kuna washabiki wa mtu fulani basi waweke wazi na maneno yao ili tuanze kuwachambua mmoja baada ya mwingine kwa kujibu kwa hoja zao.
Wembe.
 
jamani jamani jamani-!!Mbona Mna Ruka Ruka!!-Mara Hoja Hujibiwa kwa hoja!!
Kwa hiyo Hoja Mnazo nyie?! sisi Hatuna Hoja!!

Msilete Upumbavu!!
Ina takiwa na sisituwe na Afya nzuri!! Akili- Wajanja kupita maelezo!!Lakini Ni wapole na wenye Kupenda Amani!!

Hofu yetu Nini? hata kama Mkataba Ulisainiwa Nje ya nchi!!???
Nafikiri Ni vizuri kama Niki uliza- Mbona hata wao walisha wahi ku saini mikataba yao wakiwa kwetu,,Japo uki ni uliza hebu lete Mfano nitashindwa!! lakini Nina uhakika yupo mwana JF atakae nisaidia!!

Tapeli ni Tapeli tu!! hata Mkataba Unge-Sainiwa Mwezini..
bado Utatapeliwa tu!!

LAKINI
Anae-Iba!!-Tunao Iba!!! Furaha yetu!!, furaha yao!! iko wapi?

Nani ana tudanganya? au tuna jidanganya wenyewe!!

Yupi tumuogope...??

this is brought to you by WAKINA NANI?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom