FortJeasus
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 603
- 397
Nina hakika kabisa ndugu zetu wa CCM hawaufurahii huu ukaribu wa Ndugu Sabodo na CHADEMA.
Niwashauri kuwa nao wajipange wakaombe.Hata hivyo nina wasiwasi kama watawakubaliwa ombi lao.
Kwanza, nani,miongoni mwa wana CCM, atafikiri kwenda kutafuta pesa kwake...Nina hakika kabisa Mzee anawajua MAGAMBA jinsi walivyo wafujaji ...wanaweza kuchukua pesa na kuanza kugawana allowances kibao, kuwanunulia wananchi pilau,chumvi,vitenge bila kuacha tangible results!
Halafu ina maana hapa JF hatuna watu wa CHAUSTA,NRA ama CUF!
Tungependa nao wajitokeze tushindanishe mawazo pamoja.Maana wadadavuaji2 wa CCM wanajulikana watahitimisha nini kabla hata hawajaanza kuweka utangulizi wao!
Niwashauri kuwa nao wajipange wakaombe.Hata hivyo nina wasiwasi kama watawakubaliwa ombi lao.
Kwanza, nani,miongoni mwa wana CCM, atafikiri kwenda kutafuta pesa kwake...Nina hakika kabisa Mzee anawajua MAGAMBA jinsi walivyo wafujaji ...wanaweza kuchukua pesa na kuanza kugawana allowances kibao, kuwanunulia wananchi pilau,chumvi,vitenge bila kuacha tangible results!
Halafu ina maana hapa JF hatuna watu wa CHAUSTA,NRA ama CUF!
Tungependa nao wajitokeze tushindanishe mawazo pamoja.Maana wadadavuaji2 wa CCM wanajulikana watahitimisha nini kabla hata hawajaanza kuweka utangulizi wao!