Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,968
Muasisi wa Siasa za mageuzi na mmoja wa waanzilishi wa chama cha CUF mzee Musobi Mageni amefariki dunia jana saa mbili usiku nyumbani kwake Ngudu, Kwimba. Mzee alikuwa anasumbuliwa na magonjwa ya uzeeni ya presha na kisukari.
RIP Musobi Mageni, kujitoa kwenu muhanga kudai vyama vingi ndio matunda ya demokrasia iliyopa sasa ambapo bado miaka mitatu tu CCM ing'oke.
RIP Musobi Mageni, kujitoa kwenu muhanga kudai vyama vingi ndio matunda ya demokrasia iliyopa sasa ambapo bado miaka mitatu tu CCM ing'oke.