Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,598
- 52,298
Mtambuzi kutwa anaandika mistari jf
hao watoto wanalelewa na mama Ngina peke yake
ndiyo maana wanamchanganya mzee wa watu, lol.
hao watoto wanalelewa na mama Ngina peke yake
ndiyo maana wanamchanganya mzee wa watu, lol.
unajua Cantalisia huyu mzee amezaliwa enzi za mjerumani halafu analea watoto enzi za JK lazima atachanganya madesa tu bora akuruhusu ujichunge mwenyewe wala hata hutaleta tabu lakini anavyokubana mwisho wa siku tutalea mimba ya kuruka ukuta na ushungi.