Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Mkuu sasa unatafuta kesi,hawa jamaa huwa wanakataa kutumia hii kitu na wewe umewawekea na evidensi?
Haya bwana wakienda kujiua na hasira zao sijui utamjibu nini mheshimiwa hakimu?
Kwani ni wapi hasa ambapo wameandika kwamba jambo hili linatokea au kutendeka Iringa?? Acheni hizo kashfa zenu!!
Eheee kumbe hata paka wanakula tobaaa
Haka!! Hayo makuti huyaoni, huwa kuna makuti Iringa??
Huo udongo wa mchanga mweupo hapo chini kwa nini tusingiziane?? Watu wakupikia jiko la kuni kwa kutumia vipande vya mbao zilizobakia kwenye ujenzi huku Ma-Pwanipwani hamwajui??
Kwa nguo chakavu za kimasikini masikini hapo kidogo tumefanana hata nyumbani Kinyanambo tunao lakini huo unene wa kibwegebwege aliyonayo huyu baba hapa hatuna jamani.
Mikoa inayofuga sana PAKA hamyajui jaama, tusisingiziane tafadhali. Waacheni wenye paka zao wakale salama bila kusingiziana.
Kwani nani kakuambia huyu mzee yuko wapi? Mtu hata kama yupo Bwagamoyo mila yake yeye nadumisha si unajua wanyalukoloAisee nimekuzoma kweli bana hii picha ni Bagamoyo au Tanga hakuna ubishi beeeh
Halafu kule kinyanambo sikumbuki kuona nyumba inajengwa tofali za dizaini hiyo! Nakumbuka ni nyumba za udongo au tofali za udongo.Haka!! Hayo makuti huyaoni, huwa kuna makuti Iringa??
Huo udongo wa mchanga mweupo hapo chini kwa nini tusingiziane?? Watu wakupikia jiko la kuni kwa kutumia vipande vya mbao zilizobakia kwenye ujenzi huku Ma-Pwanipwani hamwajui??
Kwa nguo chakavu za kimasikini masikini hapo kidogo tumefanana hata nyumbani Kinyanambo tunao lakini huo unene wa kibwegebwege aliyonayo huyu baba hapa hatuna jamani.
Mikoa inayofuga sana PAKA hamyajui jaama, tusisingiziane tafadhali. Waacheni wenye paka zao wakale salama bila kusingiziana.
Mwajaribu kupotosha hata ule uzushi ambao umezoeleka, wanayalu wanazushiwa kula mbwa na sio paka Mkuu.Kwani nani kakuambia huyu mzee yuko wapi? Mtu hata kama yupo Bwagamoyo mila yake yeye nadumisha si unajua wanyalukolo