Nafikiri miaka 10 ijayo tutashuhudia mabadiliko makubwa sana ya kisiasa hapa nchini, wananchi wameanza kuamka!!
Pongezi kwa Mh. Rais Kikwete kwa kuleta mfumo wa kidemokrasia zaidi wa kuchagua wabunge na madiwani ndani ya CCM.
Hivi Kikwete kaleta vipi huu mwamko?