amesema wapi maneno hayo?
amesema wapi maneno hayo?
amesema wapi maneno hayo?
Mh ILa ukweli ndo huu.. maana Chama chetu kimeishashindwa, Parking airport 1000 per hour hata ukikaa 5min, Pension hakuna mpaka 55yrs, Ukinunia gari mmeongeza kodi maradufu na mwishowe tunalipia fire 30,000/- wakati fire wenyewe hawajielewi hata kazi zao, Maisha yako juu sana kwa kama Mzee Makamba kasema hv sioni kama kakosea maana utakuja kutwambia "anapaswa kusema kwenye vikao vya chama"......amesema wapi maneno hayo?