MwalimuZawadi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2007
- 643
- 68
Juzi juzi hapa nimetembelea kigamboni!!!!
Nikaonyeshwa eneo Kubwa saaaaaaaana zaidi ya heka 100! kuwa manjia amenuanua hilo eneo. Loye hilo liko baada ya mji mwema. Eneo hilo ni beach ninadhani yeye kanunia kwa hela kiduchuu!!!!!!!!!! Lakini atakamua hela hapo siku za baadaye!!!!!
Mkira
More dataz please, Kigamboni bado kunauzika? Maana nilisikia serikali imesimamisha utoaji hati za umiliki kupisha wawekezaji. Wakigamboni wanatakiwa kulipwa fidia kupisha wenyenchi