Spear
JF-Expert Member
- Jun 21, 2008
- 507
- 28
Kwa miezi sasa tumekuwa tukisubiri kauli ya Mh Makamba aliyosema atamjibu mama Anna Kilango ile kauli yake aliyotowa zidi ya mafisadi ndani ya CCM ,matokeo yake mzee makamba ameshindwa hata kuomba radhi kwa wa TANZANIA kwa kushindwa kuitekeleza ahadi yake,jee huyu ni kiongozi wa kuwekwa manani?