Mzee Majuto: Tanzanian Movie and Comedy Legend

Huyu jamaa kila MTU anamzungumzia tofauti wakidai kuwa ndiye Rais Wa wasanii awamu ya tano.
1484474645548.jpg
 
Mi ndo mchekeshaji na muigizaji pekee ninaye mkubali sana hapa bongo ,nikitaka kucheka sana naangaliaga chuchill show (RIP ayeya poa poa), akina JB waendelee tu kufuga matumbo na kumsupport mr F F F F F F F.

upload_2017-4-22_17-24-32.png
upload_2017-4-22_17-25-32.png
 

Attachments

  • images.jpe
    images.jpe
    8.6 KB · Views: 122
asee hyo habari ya aka mzee wa ayeeyaa kufariki imenistua na kunisikitisha,,alifariki lin?? rip asee
 
Mi ndo mchekeshaji na muigizaji pekee ninaye mkubali sana hapa bongo ,nikitaka kucheka sana naangaliaga chuchill show (RIP ayeya poa poa), akina JB waendelee tu kufuga matumbo na kumsupport mr F F F F F F F.

View attachment 499587View attachment 499588
He is the best plus senga na pembe walau kwa bongo commedy hua wanaleta ladha sio akina futuhi :D:D
 
Ila mda mwingine tujitahidi kuachana na ishu zisizo na maana kama hii ya makonda ( uliyemtaja kama Mr F F F F F )
tujadili hoja na mawazo ( ideas and not merely events and people)
 
Back
Top Bottom