Sipendi filamu za kibongo lakini nilijikuta naangalia filamu ya Kibongo inayoitwa "Dala dala bila kuchoka.....Huko ndani Mzee Majuto alinitengua mbavu zangu..
Juzi kati nilifanikiwa kukutana na mkali huyu wa vichekesho akiwa na baadhi ya wasanii wengne.Nkapiga nae picha kujiwekea kumbukumbu.Mzee huyu ni king haswa.Sanaa ya bongo ingekuwa inalipa kivile mzee majuto alitakiwa awe anaishi masaki kama amekos vogue angekuwa anapush hata range rover sport
Hebu pata picha,unaingia kwenye daladala..ile unaingia tu sura ya kwanza kuiona ni ya king majuto kakaa seat ya nyuma kabisaaaaa halafu anasmile au anaachia lile cheko lake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.