Mzee kipara afariki Dunia

Masikini huyu mzee alishaomba Watanzania wamsaidie lakini Mungu ndio tena kampenda kuliko sisi! R.I.P Mzee Kipara.
 
bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.pole kwa familia na watu wote
 
Dah Nakumbuka Mzee Mitemba ulikuwa unafurahisha sana Radio Tanzania..

Mwenyezi Mungu amuweke pahari panapostahiri
 
Back
Top Bottom