Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,319
- 33,125
Ulikuwa upande gani wa Siasa? mkuu markj
Umetoka mbio kule unatakia uwe Mwanamme wa shoka kule kwenye jukwaa la Siasa, kuna watu wapo makini Siasa wakiamka Siasa wakilala Siasa wakienda kula Siasa nini maana ya Siasa? ni uongo wa hali ya juu ndani ya Serikali zilipo Duniani markjnilikuwa najifanya na mm mwanasiasa! nkaona naingiwa uchizi tu! nimeamuwa kuamia photoshop!
Umetoka mbio kule unatakia uwe Mwanamme wa shoka kule kwenye jukwaa la Siasa, kuna watu wapo makini Siasa wakiamka Siasa wakilala Siasa wakienda kula Siasa nini maana ya Siasa? ni uongo wa hali ya juu ndani ya Serikali zilipo Duniani markj
Mkuu Umewagunduwa kule kwenye jukwaa la Siasa kuna Makundi ya watu wapo Al-Qaida,wapo mossad,wapo KGB, wapo CIA ,wapo Scotland yard na kadhalika kila mtu ana Siasa yake na maneno yake tofauti kabisa ukiwa kule lazima uwe ni chizi maarifa bila ya hivyo hutapaweza kabisa markjngoja niwe photo viewer tu! huko kwingine ntakuwa nasoma hbr tu! nini kimejiri! mana watu wengine wanajifanya mossad,wenginr cia,kgb yani utakoma mwenyewe kule
Nimemsoma ndugu markj hapa https://www.jamiiforums.com/habari-...ubishi;ct-scanner-vs-toyota-land-cruiser.html nimefahamu anachokisema.Mkuu Umewagunduwa kule kwenye jukwaa la Siasa kuna Makundi ya watu wapo Al-Qaida,wapo mossad,wapo KGB, wapo CIA ,wapo Scotland yard na kadhalika kila mtu ana Siasa yake na maneno yake tofauti kabisa ukiwa kule lazima uwe ni chizi maarifa bila ya hivyo hutapaweza kabisa markj
nilikuwa najifanya na mm mwanasiasa! nkaona naingiwa uchizi tu! nimeamuwa kuamia photoshop!
Utakuwa umekutana na zomba na MAMAPOROJO kule. lile jukwaa mie huwa naenda na ndovu saba na viroba kadhaa ndo kidogo naenda nao sawa,nikienda na akili yangu dakika mbili nyingi BAN inanihusu!
Wakazi wa Mabwepande mbona umewasahau?Mkuu Umewagunduwa kule kwenye jukwaa la Siasa kuna Makundi ya watu wapo Al-Qaida,wapo mossad,wapo KGB, wapo CIA ,wapo Scotland yard na kadhalika kila mtu ana Siasa yake na maneno yake tofauti kabisa ukiwa kule lazima uwe ni chizi maarifa bila ya hivyo hutapaweza kabisa markj
mzee wa pande za msambweni sio! hahaha! bora nimeamia huku kwenye jf photo tu! mana huko kwingine wajuaji wengi ni mwendo wa kugombana tu.
naona jingalao amekutoa nduki kweny thread ya ct scanner aaah. Unataka watibu kizaman yeye anataka serikali itumie magar ya zaman