kasimba123
JF-Expert Member
- Apr 18, 2010
- 1,753
- 811
Hivi ni mwapachu huyu ninayemjua aliyekuwa mbunge wa Tanga. ambaye nilimuuliza swali pale bwaloni Tanga Tech Majibu yake yakasababisa wanafunzi na baadhi ya walimu tuka mwachia ukumbi? Kweli usilolijua ni usiku wa giza hivi huyu mnaweza kumwita jembe? Waliokuwepo Tanga Tech 1995 wanafahamu nini namaanisha