Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,339
- 29,128
Confirmed.
Nimeongea na mmoja wa viongozi wao. amethibitisha kwamba mwenzao mmoja ameuliwa kutokana na fujo walizofanyiwa na polisi jana.
Amesema kwamba wao wanajihesabia kama ni maiti tayari maana muda wao wa maisha upo at stake. lakini wanasisitiza kwamba WATANZANI wawaelewe kwamba hawana nia wala uwezo wa kufanya vurugu bali wanataabika kwa kucheleweshewa haki yao.
MY TAKE
............................................
Nimeongea na mmoja wa viongozi wao. amethibitisha kwamba mwenzao mmoja ameuliwa kutokana na fujo walizofanyiwa na polisi jana.
Amesema kwamba wao wanajihesabia kama ni maiti tayari maana muda wao wa maisha upo at stake. lakini wanasisitiza kwamba WATANZANI wawaelewe kwamba hawana nia wala uwezo wa kufanya vurugu bali wanataabika kwa kucheleweshewa haki yao.
MY TAKE
............................................