dropingcoco
Senior Member
- Jun 21, 2008
- 124
- 11
Wazee wanaodai mafao yao ya kustaafu, jana walifukuzwa mahakamani kwa kumwagiwa upupu, habari ya kusikitisha ni kwamba mzee mmoja amefariki kutokana na adha ile, watanzania tujiulize......ilishindikana nini kwa polisi kuwaondoa wale wazee pale katika hali ya kiustarabu na kulazimika kutumia maji ya upupu, kama vile walikuwa ni magaidi walioshindikana, hivi wale wazee walikuwa na nguvu gani kuwazidi polisi? hii ndio tunaita amani katika nchi pale unapodai haki yako?....TUTAFAKARI
SOURCE: ITV
SOURCE: ITV