Mzazi mwenzangu ananipa wakati mgumu sana sana...

mzibua chemba

JF-Expert Member
Jul 18, 2016
476
412
Natumaini mu wazima humu

Ushauri wako ni muhimu bila kuweka tusi maana utaniongezea uchungu bure kama huna ushauri ningeomba ukae kimia tuu.

Mimi kwa sasa nina mke huyu tulikaa muda sana bila kufanikiwa kupata mtoto kweli tulikosa raha sana mgogoro ukawa hauishi mwaka wa tatu uzalendo ukanishinda maana ilifika mahali akawa ananiambia mimi nitakua sina mbegu.

Niliumia nikaamua kuchepuka nikapata binti mmoja wa mbali kiukweli huyu binti nilimwambia ukweli na mke but alinipenda sana penzi lilikolea sana alinipa mapenzi matam sana alipokosea ni siku moja tuu akanipa penzi kinyume na maumbile apo nilichanganyikiwa zaidi shetani kwa kweli akanipitia but nashukuru nilikua mjanja sana sikuonyesha kumdharau mke nilikua narudi likizo na sikutaka kumwonyesha chochote niliporudi kule ikawa ni full kujiachia kweli kitanda hakizai haramu binti akabeba mimba nilimhudumia sana akili zikaja nimwoe au ila nilichukulia kumwoa mwanamke nishafanya nae kitendo kile cha kiovu heshima itakua hamna alijifungua mtoto yaani hata DNA haina haja tulivyofanana

Hapo nikapata uhakika mimi sina tatizo sasa siku moja wife aliniuzi nikaamua kumpasukia ukweli yaani aliumia alilia sana ilitokea ugomvi kwenye kumpiga nikamtengua mguu cha kushangaza alikua mvumilivu akanisamehe na kunipenda ajabu nafsi ikanisuta kweli kule mtoto nikawa nahudumia kweli kweli
tuliendelea mwaka wa tano ukakatika bado hashiki mimba ila moyo ukawa unanisuta matusi bado anavumilia tuu nilikua naumia nikiona ameingia blid balaa yaani apo ni matusi balaa kiukwel nyumba bila mtoto mhhh...

Ndugu zangu walinishauri niliezaa nae nimwoe tuu na maandalizi yakawa yanaendelea kichini chini sasa inakuja huyu mke kabeba mimba sasa na yule niliezaa nae anakuja juu kwenye cm kila saa nikiwa home anapiga na kwenye social netwok ndiyo balaa full mipicha yangu na mtoto na kumtus wife .

Sasa nipo dailema nifanyeje maana ata sijielewi elewi wife baada ya 6 years kabeba mimba na huyu niliezaa nae amekuja juu balaa .matusi sitaki plzzz kama huna ushauri usichangie chochote.
 
Kaka umejikanyaga mwenyewe... however... is not too late to make decision. Mshirikishe mke wako... maana tatizo lililo wakosesha amani lilikuwa ni mtoto.. sasa mkEe amekuwa mja mzito. Kachukue mtoto wako kwa huyo mchepuko umlee wewe na mke wako. Pia mtunze sana mkeo.. usimuache hata kabisa.. hilo ni jaribu tu lilikiwa linapita.
(HAPA NDIO KIPINDI AMBACHO MISIMAMO WAKO NA BUSARA NDIVYO VITAKAVYO KUOKOA).
 
Nilipata msala kama huu mwaka 1999, kipindi hicho nikapata uhamisho kikazi kutoka mwz (jijini) kwenda Kwimba, nikaondoka na mke wangu, baada ya miezi 2 mchepuko ukatinga ukiwa na mtoto ana wiki moja, mchepuko ukang'ang'ana hautoki...Nikamwambia amuulize mke aliyemkuta (yaani mrs) waelewane, Mrs naye nikamhakikishia kuwa yule mtoto ni waa kwangu.

Kwa kuwa alikuwa amekuja jana yake, akalala...Mrs alihoji tukiwa chumbani, nikamwambia tu kibinadam sio kwa ubabe, akaelewa, ndio maana yule mchepuko nikampa kazi ya kuomba majibu kwa aliyemkuta. Nikiwa sipo, waliongea na kukubaliana kuwa waishi wote. Niliporudi nikakuta amani tele, ila moyoni nikasema lazima niwe na mke mmoja na mazingira hayo watayaandaa wao maana wamekubaliana wote wawe wake zangu.

Baada ya mwaka mmoja...mkubwa akabwaga manyanga. Basi bwana, kisicho riziki hakiliki, aliondoka akaacha watoto wawili (mmoja yuko form four mwaka huu). Naishi na aliyekuwa mchepuko na tuna watoto 4, tulishafuga ndoa tayari...

Sikufundishi upite nilikopita, chukua njia yako kulingana na wakati, uelewa, uchumi nk, nk..Nakushauri, usiwe na huruma inayokupelekea kuoa mke wa pili. Hudumia mtoto na mama wote kwa pamoja kadri ya uwezo wako. Time will decide, mchepuko wako huyo atapata njia nyingine ya kwenda. Usimwahidi kumwoa baadae, mwambie ukweli kwamba hutamwoa,ataumia lakini ndio ukweli..
natumaini mu wazima humu ...ushauri wako ni muhimu bila kuweka tusi maana utaniongezea uchungu bure kama huna ushauri ningeomba ukae kimia tuu.....
mimi kwa sasa nina mke huyu tulikaa muda sana bila kufanikiwa kupata mtoto kweli tulikosa raha sana mgogoro ukawa hauishi mwaka wa tatu uzalendo ukanishinda maana ilifika mahali akawa ananiambia mimi nitakua sina mbegu ..niliumia nikaamua kuchepuka nikapata binti mmoja wa mbali kiukweli huyu binti nilimwambia ukweli na mke but alinipenda sana penzi lilikolea sana alinipa mapenzi matam sana alipokosea ni siku moja tuu akanipa penzi kinyume na maumbile apo nilichanganyikiwa zaidi shetani kwa kweli akanipitia but nashukuru nilikua mjanja sana sikuonyesha kumdharau mke nilikua narudi likizo na sikutaka kumwonyesha chochote niliporudi kule ikawa ni full kujiachia kweli kitanda hakizai haramu binti akabeba mimba nilimhudumia sana akili zikaja nimwoe au ila nilichukulia kumwoa mwanamke nishafanya nae kitendo kile cha kiovu heshima itakua hamna alijifungua mtoto yaani hata DNA haina haja tulivyofanana ..
apo nikapata uhakika mimi sina tatizo sasa siku moja wife aliniuzi nikaamua kumpasukia ukweli yaani aliumia alilia sana ilitokea ugomvi kwenye kumpiga nikamtengua mguu ..cha kushangaza alikua mvumilivu akanisamehe na kunipenda ajabu nafsi ikanisuta kweli kule mtoto nikawa nahudumia kweli kweli ..
tuliendelea mwaka wa tano ukakatika bado hashiki mimba ila moyo ukawa unanisuta matusi bado anavumilia tuu ..nilikua naumia nikiona ameingia blid balaa yaani apo ni matusi balaa kiukwel nyumba bila mtoto mhhh...

ndugu zangu walinishauri niliezaa nae nimwoe tuu na maandalizi yakawa yanaendelea kichini chini ..sasa inakuja huyu mke kabeba mimba sasa na yule niliezaa nae anakuja juu kwenye cm kila saa nikiwa home anapiga na kwenye social netwok ndiyo balaa full mipicha yangu na mtoto na kumtus wife .

sasa nipo dailema nifanyeje maana ata sijielewi elewi wife baada ya 6 years kabeba mimba na huyu niliezaa nae amekuja juu balaa ...matusi sitaki plzzz kama huna ushauri usichangie chochote..
 
wanaume hua mnakosa uvumilivu kwenye kubeba mimba

hamjui kila mtu na siku yake ya kuzaa!!

Mungu ndo mjuvi na ndo ambae anajua atakupa lini mtoto kwa wakati wake alioupanga!

Mnakuwa na haraka kweli ya watoto km mnawaumba nyie vile...

Mwisho yamekukuta sasa..

Na hiyo nyumba ndogo ww ndo uliipa kibri chote hicho na ndugu zako wote..aibu imewakuta poleniii sanaa.

Kua mpole muombe msamaha mkeo hizo zilikua ni harakati za ujinga tu!

Ila tabia ya kuingilia kinyume sio nzuri hata kidogo!!na ya kudhalilisha ndo maana uliyokuwa unamfanyia Huyo hawara ndo maana hutaki kumuoa

Unamtigolize then unasema eti hana heshima...??

Wanaume sijui mkoje?
 
Back
Top Bottom