ney kush
JF-Expert Member
- Feb 16, 2012
- 1,373
- 851
Dem flani alipigiwa simu na namba geni mambo
yakawa hivi NAMBA NGENI:"Haloo! Mrembo una boyfriend?" GIRL:"Yap ninae kwani we ni nani?" NAMBA NGENI:"Mi ni baba yako kumbe una
boyfriend eeehh! Nikirudi utaeleza vizuri *Baada ya dakika tano namba nyingine geni
ikampigia*
NAMBANGENI:"Haloo mambo....una boyfriend" GIRL:"Sina kwani ni nani?"
NAMBAGENI:"Haaa ni mimi boyfriend
wako.....ina maana umenisaliti enh?" GIRL:"No no no baby sorry nilidhani ni baba
yangu ndo maana nikasema hivyo NAMBA NGENI:"Ni mimi baba yako nilitaka
kuhakikisha,kumbe ni kweli!! Utakoma nikirudi..!
yakawa hivi NAMBA NGENI:"Haloo! Mrembo una boyfriend?" GIRL:"Yap ninae kwani we ni nani?" NAMBA NGENI:"Mi ni baba yako kumbe una
boyfriend eeehh! Nikirudi utaeleza vizuri *Baada ya dakika tano namba nyingine geni
ikampigia*
NAMBANGENI:"Haloo mambo....una boyfriend" GIRL:"Sina kwani ni nani?"
NAMBAGENI:"Haaa ni mimi boyfriend
wako.....ina maana umenisaliti enh?" GIRL:"No no no baby sorry nilidhani ni baba
yangu ndo maana nikasema hivyo NAMBA NGENI:"Ni mimi baba yako nilitaka
kuhakikisha,kumbe ni kweli!! Utakoma nikirudi..!