Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Hawachelewi kusema aliyenisaidia ndio mwenye mzigo we jichanganye uone maneno yatakavyosambaa
tukiwa tunahofia mambo kama hayo binadamu tutakuwa hatusaidiani. Kuna watu hata kusaidia omba omba barabarani hudai wanaogopa hela zao zitayeyuka...
Amsaidie tu, yakitokea hayo watafanya vipimo.