Mlio Tz naona hili neno mnalitumia sana.
Nimeliona mara lukuki kwenye blog moja.
Ninavyojua My= belong to me
Iweje hili neno sasa linatambulishwa kwenye jamii? Utasaikia mtu akisema Jamaa fulani na my wife wake?
Mlio Tz naona hili neno mnalitumia sana.
Nimeliona mara lukuki kwenye blog moja.
Ninavyojua My= belong to me
Iweje hili neno sasa linatambulishwa kwenye jamii? Utasaikia mtu akisema Jamaa fulani na my wife wake?
Haya sasa,na wengine wanasema Tigo neno la kiswahili (samahanini ashakum si matusi)
....nao utawajua kwa maneno na kauli zao...!
Mlio Tz naona hili neno mnalitumia sana.
Nimeliona mara lukuki kwenye blog moja.
Ninavyojua My= belong to me
Iweje hili neno sasa linatambulishwa kwenye jamii? Utasaikia mtu akisema Jamaa fulani na my wife wake?
Darwin, ungeanza na huyo mwenye blog kwanza.!
Je wewe ni mwalimu wa lugha (kiswahili) au mzee kifimbo cheza?
ni kama neno la kawaida la kimtaani ...linakubalika
....Tigooooo!!!mambo hadharani mwanawane!!! Kiswahili kitamu sana!!!Haya sasa,na wengine wanasema Tigo neno la kiswahili (samahanini ashakum si matusi)
Huyu mkuu wa libeneke kwenye twitter 'anatwiti in propa inglishi ' ingawa sio richaboo!