My Wife Jamani

Mkuu nipo ila busy na mchakato wa kumpeleka Dr. Ikulu, mama ndubwi mzima ila anakutajataja kila siku.....

Mkuu, mm nguvu kazi nimezielekezea kusini, huku ndy kugumu zaidi-watu wana macho lakini hawaoni, Dr lazima aingie ikulu. Msalimie sana mama ndubwi na watoto.....waambie nawapenda sana.
 
Aaarghhh....:angry: Mi wangu nimempigia naambiwa 'namba unayopiga kwa sasa haipatikani'...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom