Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
- Thread starter
- #41
Mkuu nipo ila busy na mchakato wa kumpeleka Dr. Ikulu, mama ndubwi mzima ila anakutajataja kila siku.....
Mkuu, mm nguvu kazi nimezielekezea kusini, huku ndy kugumu zaidi-watu wana macho lakini hawaoni, Dr lazima aingie ikulu. Msalimie sana mama ndubwi na watoto.....waambie nawapenda sana.