My wife has spoiled my day!!

shame on you,kwa kumpiga mke wako.kwani suluhisho mpaka umpige?na inavyoonyesha,sio mara ya kwanza kumpiga.maana usingeelezea humu.mke hapigwi.inatakiwa na wewe upate mtu akufunze jinsi ya kuishi na mke wako.club, club.nenda na mke wako huko club,mu enjoy wote
 
Nyie ndio mnaofanya wake zenu wawakumbuke ma-ex wao, this morning kuna ex-wangu kaniita analia sana na story yake ni kama yako sasa cjui ndio mkeo au ni coincidence.
Nilifanikiwa kumliwaza akatulia na alimalizia maongezi namna hii "natamani mpenzi wangu ungelikuwa karibu leo ningekuletea uitumie vile unavyotaka mpaka uchoke mwenyewe"
Mate yalinitoka ila nikamwaidi nikiwa mjini nitamjulisha, kazi kwako baba.
 
Hivi sababu za kupiga mke ni rahisi namna hii!!! Basi kumbe mi sitapataga sababu ya kupiga mke... Maana mi vitu kama hivyo akiniambia huwa naishia kucheeka, hadi na yeye mwishoni anacheka...
 
ama kweli siku za mwisho watu watakuwa wakujipenda wenyewe....hapo kweli wewe ndio umeharibiwa siku? mwenzio kalala na mangumi then kaamkia church halafu eti she spoiled your day! shame on you!!
 
kweli wee ni balaa kwa huyo mwanamama,eti kipondo kakiandika kwa herufi kubwa sijui kuonesha jinsi yuko proud.
Unampiga ni binti yako huyo???
kwa hiyo ulivyompiga ndo akaelewa au??
 
Duh! kumbe watu kama nyie bado mpo eeeh msio jua kumuelewesha mtu kwa mapenzi? huoni hata haya unaelezea kama vile jambo la kawaida loh halafu jioni unamwambia unampenda akuvulie nguo! Shame on you. wewe ndio wale kwenye group ya magumegume.ebu badilika mwanamme kweli hampigii mkewe anamuelewesha na anaelewa sio kumpiga,uli toa mahari uka muoa huku mnunua....
 
Hi guys naomba labda tukumbushane jamani kitu hichi ambacho watu wengi tumekuwa nakasumba asa wanaume wengi
Yaani unashindwa kupata time hata ya kupumzika home na mkeo zen unaenda kuchili na marafiki me i gues rafiki wako wa kwanza ni wife wako.
Halafu unarudi usiku unampa kipondo so kisa we mwanume au dat not fair ok she was right halafu kwa ujasiri kabisa unapost post kutueleza huo ujinga wako. so ulitaka ye afikiliaje coz hata maandiko yanaasema ussiende njia ya mwanamke mzizi maana maneno yake ni matamu kama asali na ni laini kama mafuta.Remember time to ur famil it more important more than u think so kuwa mwangalifu ok .
 
MJINGA ww usije tena kutuandikia massage zako za u ubabe huimu kama umekosa post ni bora usome za wenzako
Jamani samahani sana kama nimetumia lugha chafu maaana jamaa kaharibu kabisa siku yangu nachukia sana vitu kama hivi halafu mtu anajisifu kabisa,
 
Guys my day has been spoiled by my beloved wife. Jana jioni nili mdrop home then mimi nikageuza kwenda Club kupiga story kidogo japokuwa nimesimama pombe sababu za kiafya. Dont think if this could be an excuse ya mimi kuto hang kabisa na friends. Later alinipigia just to check my position. I told her where I am and she knows the joint. Alikuwa kama haamini vile but I told that I am there and she could just walk in if she feels like. Hakuja ila nami nilikaa mpaka around saa nne usiku then I went back home.

Asubuhi hii eti analeta zangwe kwamba nilikuwa na mwanamke ndio maana nili mdrop haraka haraka na kurudi town. Kweli nijijitahidi sana kumuelezea hakuelewa ilichofuata ilibidi nitoe KIPONDO. Shida ya wanawake wetu wa kiswahili wanaishi kwa kuhisihisi tu. Kweli nimekasirika sana and my whole day is spoiled.

...Na wewe unaona sifa kufanya ulichofanya hadi kuja kujitangaza hapa jamvini!!!? :sad:ama kweli akili ni nywele kila mtu ana zake!!!!!
 
Guys my day has been spoiled by my beloved wife. Jana jioni nili mdrop home then mimi nikageuza kwenda Club kupiga story kidogo japokuwa nimesimama pombe sababu za kiafya. Dont think if this could be an excuse ya mimi kuto hang kabisa na friends. Later alinipigia just to check my position. I told her where I am and she knows the joint. Alikuwa kama haamini vile but I told that I am there and she could just walk in if she feels like. Hakuja ila nami nilikaa mpaka around saa nne usiku then I went back home.

Asubuhi hii eti analeta zangwe kwamba nilikuwa na mwanamke ndio maana nili mdrop haraka haraka na kurudi town. Kweli nijijitahidi sana kumuelezea hakuelewa ilichofuata ilibidi nitoe KIPONDO. Shida ya wanawake wetu wa kiswahili wanaishi kwa kuhisihisi tu. Kweli nimekasirika sana and my whole day is spoiled.

ningekuwa mimi wewe ningekuja na uzi nimwombeje msamaha mke wangu/? au mke wangu nisamehe sana' kusudi kama wana jamvi wakichangia basi iwe wamekusaidia kufikisha ujumbe mzito zaid tena wa kuondoa kosa mara moja. na siyo huu wa kuonyesha kosa tena lililojaa jeuri ya kibaba na ubabe.
 
Daaaah kweli umenipaka,sirudii tena asante sana
Kuna wanaume wengine wanaoharibu sifa ya kuwa waume, moja wapo ni wewe. oa wako piga ua halafu tukukute Segerea ukinyea debe. Unaharibu sifa za ukoo wa Lasway
 
Blue, unahitahitaji kupevuka akili. Kwa vitendo vyako huafai kuitwa mume wala kiongozi wa familia. Huwezi ukatatua matatizo kwa kupiga mkeo. Ubaya ni kwamba huwezi fahamu matokeo ya kipigo hicho. Unaweza ukafikiri umemweka mkeo mahala pake na atakuheshimu zaidi au labda atakuogopa ila hujui umepunguza pendo lake kwako kwa sehemu kubwa sana. Naomba nikupe mfano mdogo sana na labda hili litakusaidia wewe.
"Pendo la mke/mume ni sawa na sahani nyeupe. Kila unapomkosea mwenzi wako ni sawa na kuweka doa kwenye sahani hiyo. Kila doa linatofautiana na doa lililotangulia. Kuna madoa utaweza kuyatoa kwa kusafisha sahani ila kuna yale ambayo yanakomaa hata ufanye nini yanabaki kuwepo. Tatizo lingine madoa huwa yanaonekana sehemu ambayo ni safi kwenye sahani na siyo mahala ambapo doa lingine lilitangulia. Itafika mahala sahani hiyo itajaa madoa kiasi kwamba mwenye nayo ashindwe kuitumia tena. Usije ukafanya ndoa yako ijae madoa mengi hadi pale utakapohitaji upendo wa mwenza naye akakujibu , " roho yangu imejaa madoa mengi sana kutokana na matendo yako hadi nashindwa nikupende kwa kutumia sehemu gani".
Mkeo alipokukubalia uende zako club wewe hukutumia akili kumsoma amekukubalia kivipi. Ishi na mkeo kwa akili. Mpende ili akuheshimu. Piga piga itakuja kukuvunjia heshima mbele ya jamii, mkeo, familia, ndugu na hata watoto wako. Na kama una mtoto wa kiume, sijui unampa mfano gani. Na kama mkeo ana tabia mbaya ulikuwa wapi siku zote usigundue yeye siyo mke mwenye kukufaa wewe?
Mkeo alipokwambia una mwanamke nje ulipaswa umueleweshe kuwa huna ila kwa matendo yako inakuwa vigumu sana kwake kuamini huna mwanamke nje. Namalizia, "ndoa siyo lele mama"


...Imetulia sana hii BiMkubwa, nimefurahi kukuona maana umeadimika mno siku za karibuni. Jioni njema.
 
Guys my day has been spoiled by my beloved wife. Jana jioni nili mdrop home then mimi nikageuza kwenda Club kupiga story kidogo japokuwa nimesimama pombe sababu za kiafya. Dont think if this could be an excuse ya mimi kuto hang kabisa na friends. Later alinipigia just to check my position. I told her where I am and she knows the joint. Alikuwa kama haamini vile but I told that I am there and she could just walk in if she feels like. Hakuja ila nami nilikaa mpaka around saa nne usiku then I went back home.

Asubuhi hii eti analeta zangwe kwamba nilikuwa na mwanamke ndio maana nili mdrop haraka haraka na kurudi town. Kweli nijijitahidi sana kumuelezea hakuelewa ilichofuata ilibidi nitoe KIPONDO. Shida ya wanawake wetu wa kiswahili wanaishi kwa kuhisihisi tu. Kweli nimekasirika sana and my whole day is spoiled.
Hapo kwenye red kumbe we bado wa mwaka 47?pole
 
Natamani ningemjuwa huyo wife wako uliyempa kipondo. Baada ya hicho kipondo ningechukuwa kiulaiiiiiiniii kama kusukuma mlevi.
 
kwanini ulimdrop home si mngeenda wote club? hiyo hata ingekua ni mimi ningeshtukia... wewe mkeo angeshusha hm akakuambia anaenda club ungesemaje si ungempa kipondo kabla hajaenda club?
 
Hi guys naomba labda tukumbushane jamani kitu hichi ambacho watu wengi tumekuwa nakasumba asa wanaume wengi
Yaani unashindwa kupata time hata ya kupumzika home na mkeo zen unaenda kuchili na marafiki me i gues rafiki wako wa kwanza ni wife wako.
Halafu unarudi usiku unampa kipondo so kisa we mwanume au dat not fair ok she was right halafu kwa ujasiri kabisa unapost post kutueleza huo ujinga wako. so ulitaka ye afikiliaje coz hata maandiko yanaasema ussiende njia ya mwanamke mzizi maana maneno yake ni matamu kama asali na ni laini kama mafuta.Remember time to ur famil it more important more than u think so kuwa mwangalifu ok .


Hapo kwenye bold ndo patamu haswa!! na ninaomba wanaume wapazingatie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom