My Wife and My Phone

Bramo

JF-Expert Member
Oct 21, 2009
13,160
10,007
Wakuu,

jana baada ya kurud job mida ya saa kumi na moja jion hv,naingia home na kumkuta wife kajaa tele akifanya kazi za hapa na pale (yeye huwahi kurudi home kutokana na nature ya kazi yake).
Kwenye saa moja hv nikapata miadi na mtu Maeneo ya Kurasini karibu na niapoishi, nikatoka one time n akumuaga wife kuwa i will be back baada ya nusu saa.

nikaamua kuacha one of my phone na nikamwambia wife kuwa naacha simu yangu (Si najiamin bwana vimeo Nooo).
Baada ya kurudi kama kawaida wife akanikaribisha na makiss ya hapa na pale.

Kuchek simu niliyoikuta,nikakuta missed call kama 8 hv za number nisioijua, nikamuuliza wife akajibu ilipigwa muda mrefu na yeye hakuona ni vyema kuipokea (?).

Nikaamua ku call back, akapokea mwana Mama ambaye akabisha kuwa haijui namba yangu na wala haja call, nikamwambia "To hell, Goodnite".

Wife alikuwa anafua bafuni, akajakuniuliza, "Kasemaje huyo mtu?"nikamjibu kama nilivyojibiwa.
wakati tunalala wife ndo akanipa yaliyotokea.

"Nikwambie Mumu wangu, ile simu niilipokea na Mazungumzo yakawa kama ifuatavyo"

Caller (Mwana Mama):"Haloo"
Wife:"Haloo, habari yako"
Caller:"Naweza kuongea na Baba Shamila"?"
Wife:akiwa na mstuko na kujilaumu kwa nini alipokea ile simu maana imemuharibia siku yake "Jina lingine nani,maana hapa hakuna mtu mwenye jina hilo" huku akiomba asije akasikia jina "jingine ni Bramo"
Caller: "Jina jingine Shabani" huku akiachia msonyo mkaaaaaali
wife:akishusha pumzi eeeeifff "Hakuna mtu kama huyo"

Kilichofuata hapo ni Matusi kutoka kwa caller, ila wife akaelewa tu kuwa ile ilikuwa ni wrong Number na kuchukulia poa matusi yote aliyotukanwa.

Namshukuru my wife for her quick understanding maaana wangekuwa wengine sijui ingekuejw.
alipomaliza nikamvutia kwangu, Nikampa "machejo" ya hatar hatar mpaka kunakucha.
 
Wakuu,
jana baada ya kurud job mida ya saa kumi na moja jion hv,naingia home na kumkuta wife kajaa tele akifanya kazi za hapa na pale (yeye huwahi kurudi home kutokana na nature ya kazi yake).
Kwenye saa moja hv nikapata miadi na mtu Maeneo ya Kurasini karibu na niapoishi, nikatoka one time n akumuaga wife kuwa i will be back baada ya nusu saa.
nikaamua kuacha one of my phone na nikamwambia wife kuwa naacha simu yangu (Si najiamin bwana vimeo Nooo).
Baada ya kurudi kama kawaida wife akanikaribisha na makiss ya hapa na pale.
Kuchek simu niliyoikuta,nikakuta missed call kama 8 hv za number nisioijua, nikamuuliza wife akajibu ilipigwa muda mrefu na yeye hakuona ni vyema kuipokea (?).
Nikaamua ku call back, akapokea mwana Mama ambaye akabisha kuwa haijui namba yangu na wala haja call, nikamwambia "To hell, Goodnite".
Wife alikuwa anafua bafuni, akajakuniuliza, "Kasemaje huyo mtu?"nikamjibu kama nilivyojibiwa.
wakati tunalala wife ndo akanipa yaliyotokea.

"Nikwambie Mumu wangu, ile simu niilipokea na Mazungumzo yakawa kama ifuatavyo"

Caller (Mwana Mama):"Haloo"
Wife:"Haloo, habari yako"
Caller:"Naweza kuongea na Baba Shamila"?"
Wife:akiwa na mstuko na kujilaumu kwa nini alipokea ile simu maana imemuharibia siku yake "Jina lingine nani,maana hapa hakuna mtu mwenye jina hilo" huku akiomba asije akasikia jina "jingine ni Bramo"
Caller: "Jina jingine Shabani" huku akiachia msonyo mkaaaaaali
wife:akishusha pumzi eeeeifff "Hakuna mtu kama huyo"
Kilichofuata hapo ni Matusi kutoka kwa caller, ila wife akaelewa tu kuwa ile ilikuwa ni wrong Number na kuchukulia poa matusi yote aliyotukanwa.
Namshukuru my wife for her quick understanding maaana wangekuwa wengine sijui ingekuejw.
alipomaliza nikamvutia kwangu, Nikampa "machejo" ya hatar hatar mpaka kunakucha.
Kagombee ubunge ARUMERU,maana unauwezo wa kupangilia sera!
 
aaaaaaaaagr!!... gharibu yaani nilijua small house imezingua kumbe mambo ya kawaida....
 
alipomaliza nikamvutia kwangu, Nikampa "machejo" ya hatar hatar mpaka kunakucha.[/QUOTE]
kwenye red hapo,Mkuu are yu siriaz au una brag a la Ashadii?
 
Hongera sana kwa kupata mke anaye fahamu, sasa kumbuka kitu kimoja....wanaume huwa hawatoi siri zao wamefanya nini kitandani na wake zao....watoa siri huwa wana kasoro flani, wewe jichunguze tu lazima una kasoro flani :cool2:
 
wanawake kama hao ni wachache sana,ingekuwa wangu ningekesha kwa kutoa maelezo mkuu! Una mke mzuri mkuu
 
Dah pole mkuu....ila umeiweka kama udaku hivi kamanda. hii inaonyesha unakipaji fulani hivi....in real life..too good to be true broda
Wakuu,

jana baada ya kurud job mida ya saa kumi na moja jion hv,naingia home na kumkuta wife kajaa tele akifanya kazi za hapa na pale (yeye huwahi kurudi home kutokana na nature ya kazi yake).
Kwenye saa moja hv nikapata miadi na mtu Maeneo ya Kurasini karibu na niapoishi, nikatoka one time n akumuaga wife kuwa i will be back baada ya nusu saa.

nikaamua kuacha one of my phone na nikamwambia wife kuwa naacha simu yangu (Si najiamin bwana vimeo Nooo).
Baada ya kurudi kama kawaida wife akanikaribisha na makiss ya hapa na pale.

Kuchek simu niliyoikuta,nikakuta missed call kama 8 hv za number nisioijua, nikamuuliza wife akajibu ilipigwa muda mrefu na yeye hakuona ni vyema kuipokea (?).

Nikaamua ku call back, akapokea mwana Mama ambaye akabisha kuwa haijui namba yangu na wala haja call, nikamwambia "To hell, Goodnite".

Wife alikuwa anafua bafuni, akajakuniuliza, "Kasemaje huyo mtu?"nikamjibu kama nilivyojibiwa.
wakati tunalala wife ndo akanipa yaliyotokea.

"Nikwambie Mumu wangu, ile simu niilipokea na Mazungumzo yakawa kama ifuatavyo"

Caller (Mwana Mama):"Haloo"
Wife:"Haloo, habari yako"
Caller:"Naweza kuongea na Baba Shamila"?"
Wife:akiwa na mstuko na kujilaumu kwa nini alipokea ile simu maana imemuharibia siku yake "Jina lingine nani,maana hapa hakuna mtu mwenye jina hilo" huku akiomba asije akasikia jina "jingine ni Bramo"
Caller: "Jina jingine Shabani" huku akiachia msonyo mkaaaaaali
wife:akishusha pumzi eeeeifff "Hakuna mtu kama huyo"

Kilichofuata hapo ni Matusi kutoka kwa caller, ila wife akaelewa tu kuwa ile ilikuwa ni wrong Number na kuchukulia poa matusi yote aliyotukanwa.

Namshukuru my wife for her quick understanding maaana wangekuwa wengine sijui ingekuejw.
alipomaliza nikamvutia kwangu, Nikampa "machejo" ya hatar hatar mpaka kunakucha.
 
Mkeo ana hekima sana,
ila ushauri wa bure c
vema ww wla mkeo
kupokea cm ya mwenzake
kuaepusha migogogoro icyo ya razima.
 
alipomaliza nikamvutia kwangu, Nikampa "machejo" ya hatar hatar mpaka kunakucha.
kwenye red hapo,Mkuu are yu siriaz au una brag a la Ashadii?

Mkuu Bishanga, niko niko more than serious, yan ilikuwa ni ile "Nazama natoa, nazama natoa"...
Namshukuru sana huyu fundi aliyenipaulia hii nyumba,otherwise, watoto wangu wangenichukia kwa kudhan namsulubisha Mama yao...
Hili Brag a la Ashadii sijalisoma bado,nijuze Mkuu, naamin ashadii yuko Mbali na mtaa huu
 
Hongera sana kwa kupata mke anaye fahamu, sasa kumbuka kitu kimoja....wanaume huwa hawatoi siri zao wamefanya nini kitandani na wake zao....watoa siri huwa wana kasoro flani, wewe jichunguze tu lazima una kasoro flani :cool2:
Ahsante Mkuu,ila suala la nn unefanya na mkeo kitandani,liko wazi ila tu tunatofautiana kila mmoja na style zake tough nyingi zinafungana.
Au wewe na mkeo/mumeo huwa mnafanya nn wengine wasichofanya
 
Dah pole mkuu....ila umeiweka kama udaku hivi kamanda. hii inaonyesha unakipaji fulani hivi....in real life..too good to be true broda
Mkuu,hii ni kweli,nimemuonesha comment, yako, ametabasmu na kusema, mpe hi huyo commenter
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom