klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
Hii lazima atakuwa ameitoa kwenye gazeti la The African. Wale jamaa wa The Guardian hawajui kimombo cha namna hii bana...khaa!....Nimejaribu kucheki na google nao nikaambiwa watanitafsiria hicho kiinglishi baada ya wiki mbili. Wanalazimika kuwasiliana na Oxford Yunivasite kitengo cha Kiinglish toleo la Kiranga.
ameandika ili amuimpress Lizzy! bahati mbaya Lizzy wenyewe hakuona ndani, niko bize namtafsiria huku PM. kimewaka aisee!