My thoughts, what are yours?

Hii lazima atakuwa ameitoa kwenye gazeti la The African. Wale jamaa wa The Guardian hawajui kimombo cha namna hii bana...khaa!....Nimejaribu kucheki na google nao nikaambiwa watanitafsiria hicho kiinglishi baada ya wiki mbili. Wanalazimika kuwasiliana na Oxford Yunivasite kitengo cha Kiinglish toleo la Kiranga.

ameandika ili amuimpress Lizzy! bahati mbaya Lizzy wenyewe hakuona ndani, niko bize namtafsiria huku PM. kimewaka aisee!
 
Unafikiri mimi Hashycool aliyejifanya anajua kuongea kirusi baada ya kukamatwa border anatuita tumtoe selo

hehehe huyo jamaa sjui watamuachia lini aisee! kesi yake nzito, kumbe pia alikuwa anafanya magendo ya kusafirisha vitabi vitakatifu bila kibali
 
Hata HELA ni matokeo

Kweli kabisa
na naomba nitofautiane na msemaji hapo juu
Nyumba inajengwa kwa upendo, amani na furaha
Yakiwepo hayio pesa ni matokeo maana kuna couple hazina pesa ila zinaishi kwa amani , furaha na upendo maana wanaridhika na wanapambana ku9yaweka maisha yao mahali pazuri
 
Kweli kabisa
na naomba nitofautiane na msemaji hapo juu
Nyumba inajengwa kwa upendo, amani na furaha
Yakiwepo hayio pesa ni matokeo maana kuna couple hazina pesa ila zinaishi kwa amani , furaha na upendo maana wanaridhika na wanapambana ku9yaweka maisha yao mahali pazuri
Sina cha kuongeza hapa mkuu
 
Mkuu unapooa au kuolewa na mtu unajikuta katika new family ambayo ina taratibu na mambo yake<br />
U can not change the world in one day <br />
Mambo ya kusema ulinikuta nalala kuelekea kaskazini siwezi kubadilika na kulala kuangalia kusini hayo ni mambo ya ajabu<br />
Uko kwenye himaya mpya and new family and u have to follow kile ulichokuta kule<br />
Ndo maana tunaoana ili mimi na wewe tutengeneze familia na hiyo familia ije ituone sisi ni wamoja<br />
Usitegemee baba aende kaskazini na mama aende kusini then useme hapo kuna familia
<br />

Safi sana Mr Rocky, na kuukataa UMOJA KATIKA NDOA HAPO NDIYO MWANZO WA MIFARAKANO YA KIFAMILIA.
 
Sawa kabisa mkuu
Ni lazima muwe na mawazo yanayoendana na muwe na nia moja katika kuijenga familia sio kila mmoja anaelekea kwake then mtegemee ndoa na familia njema
 
Sawa kabisa mkuu <br />
Ni lazima muwe na mawazo yanayoendana na muwe na nia moja katika kuijenga familia sio kila mmoja anaelekea kwake then mtegemee ndoa na familia njema

Mawazo yanayoendana na kukubaliana kwenye mambo ya msingi ndio mwanzo wa kujenga familia bora.
 
There are two things start before marriage, Love or admire. If marriage comes from the admire doorway, it wont survive long, or if it will, they will be a hell on it. The one which comes from LOVE will last long,
Because:

Love is patient, Love is kind, It does not envy, it does not boast, it does not proud, it does not rude, it is not self-seeking, it is not easily angered, it keeps no record of wrongs. Love always protect, Always trusts, Always hope, Always perseveres.
LOVE NEVER FAILS
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Tf Eid Mubarak. Uwe na sikukuu njema japo hata pilau umekataa kunialika
Hahaha! Mkuu kuna nyumba ya jirani hapa wanapika pilau ndio nasubiria kuzamia ingawa sijapewa kadi
 
<font color="#000080"><b>There are two things start before marriage, Love or admire. If marriage comes from the admire doorway, it wont survive long, or if it will, they will be a hell on it. The one which comes from LOVE will last long, <br />
Because:<br />
<br />
Love is patient, Love is kind, It does not envy, it does not boast, it does not proud, it does not rude, it is not self-seeking, it is not easily angered, it keeps no record of wrongs. Love always protect, Always trusts, Always hope, Always perseveres. <br />
LOVE NEVER FAILS</b></font>
Thank you Techman for your comments
 
QUOTE=The Finest;2430578]Hahaha! Mkuu kuna nyumba ya jirani hapa wanapika pilau ndio nasubiria kuzamia ingawa sijapewa kadi[/QUOTE]<br />
<br />
Mbona lizzy jana alikupa mwaliko bana au ndo janja ya kuniondoa nisije m
 
uvumilivu, kusikilizana, na kujuana ndio kunaweza jenga ndoa au uhusiano maana wengi hatukubali kujikosoa lakini kama tukijikosoa ndoa zita dumu sana na zitakaa kwa amani
 
Back
Top Bottom