The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
- Thread starter
- #61
Thanx Rocky for this useful commentsMkuu unapooa au kuolewa na mtu unajikuta katika new family ambayo ina taratibu na mambo yake
U can not change the world in one day
Mambo ya kusema ulinikuta nalala kuelekea kaskazini siwezi kubadilika na kulala kuangalia kusini hayo ni mambo ya ajabu
Uko kwenye himaya mpya and new family and u have to follow kile ulichokuta kule
Ndo maana tunaoana ili mimi na wewe tutengeneze familia na hiyo familia ije ituone sisi ni wamoja
Usitegemee baba aende kaskazini na mama aende kusini then useme hapo kuna familia