amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,103
- 30,992
Miaka 4 iliyopita nilikuwa naanza kusoma chuo fulani hivi hapa mjini
siku moja nilikuwa nimeingia admission nilikuwa na shida na kitambulisho changu cha chuo ,my teacher akaniona akashtuka kidogo ( ule mshtuko wa OMG where have you been?)akaniita akaniuliza una shida gani? Nami sikusita nikamueleze akanipa kimemo cha yellow akaniambia "write down here ur name+registration number kisha njoo kesho utakuta kila kitu sawa ofisi yangu ni namba .... Njoo mida ya saa saba" basi mtoto wa kike nikamshukuru huyo nikaondoka zangu kumbuka hapo nilikuwa simjui hata jina
kesho yake nikamfata ofisini kwake akanikaribisha kama important VIP mpaka akanitambulisha kwa office mates wake loo na juice nikapewa tukaanza stori na mimi mashaalah mtoto wa kizaramo mkazi wa kariakoo maneno hapa pake
tukaongea kama dakika 45 hivi na akachukua simu yangu akajibip kisha tukaagana na akanikabidhi kitambulisho changu(msiniulize alikipataje maana nilipoteza cha mwanzo nilikuwa nahitaji kingine na nilishalipia bank,na kufata tararibu zote ila nikawa nazungushwa kupewa bila sababu ya msingi na mitihani ilikuwa inakaribia)
since that day tukawa marafiki sana na my ticha akafall kwangu akanieleza live ila mimi picha nilishaisoma tokea siku ya kwanza kuwa kamind figa
kiukweli mimi sikumpenda hata kidogo ila kwa sababu ni my ticha kumpa live noma maana chuo chenyewe discontinue nje nje plus masup ya kumwaga nikamwambia tuwe marafiki tu ili kujuana vizuri mi napenda serious relationship
akanielewa na ile semester nikapigwa supp somo moja hivi na mwalimu wa somo lile ni friend wa my ticha nikaingia chumba cha mtihani lahaula mtihani kigongo maswali manne lakini nayajua mawili tu na kila nikipiga mahesabu ya passmark hazifiki
nikatoka chumba cha mtihani break ya kwanza kumtafuta my ticha nikamwelezee akaniambia kuwa baada ya wiki mmoja wataanza kusahihisha so hiyo wiki nimkumbushe
wiki ikafika nikamtafuta nikampa exam number na registration number basi akafanya mambo (
namshukuru kwa hilo maana ningerudia mwaka)
tukaendelea kuongea nikiwa bored namfata ofisini tunaongea na yeye akinimiss ananiambia namfata ofisi tunapiga stori na kwake alinipeleka lo the guy is young plus he is loaded and he is from wealth family bt mimi nilikuwa nasubiri mpaka moyo umuangukie
mwaka wa pili semester ya pili tukawa hivyohivyo wanafunzi wambea rumours oo mtoto mzuri mchumba wake ticha.....huwa anashinda nae ofisini basi ili mradi full umbea tu
basi tukawa gud friends na kiukweli tukawa hivyo
basi kwa bahati mbaya akaja kuwajua watu kama wawili niliodate nao kipindi nasoma mmoja tulikuwa tunaagana JKIA kwa makiss kumbe akaniona bwana kisha baada ya jamaa kukwea pipa akanicall akaniambia mpaka hapo nikajishushia marks nikaamua siwezi kuwa naye tena mwingine nikadate nae kumbe ni rafiki wa rafiki ya my ticha so habari akazipata mpaka hapo nikaona siwezi kuwa nae tena zaidi ya urafiki na mapenzi sikuwa naye ila hakukata tamaa pia my ticha kuna kipindi nilipata matatizo ya ada hapo chuoni akanisaidia ada na kumalizia mwaka
kiukweli alikuwa msaada mkubwa sana kwangu
mpaka nimemaliza chuo huu mwaka wapili sasa ila tunamasiliano mazuri na haipiti wiki bila hajaniona ila hayuko siriazi na mimi tena ananichukulia pouwa sana na nahisi mapenzi hana tena mimi kipindi hiki nampenda yani jamaa mbaya lakini kipindi hiki namuona bonge la handsome na yeye hana usirisazi na mimi ananichukulia ananichukulia zaidi ya urafiki hapa ninapofanyia kazi ni karibu na anapokaa na yeye kwa sasa yupo likizo so huwa anakuja sana kunitoa lunch na jioni ananifata ila hayuko kimapenzi ni kiurafiki tu na anavyoongea na mimi ni kama vile anaongea na washkaji tena wanabishana mpira bar roho inaniuma
natamani kumwambia bt nashindwa na pia sielewi nifanyeje awe kama zamani anijali na anipende
sometimes ananiambia mambo ya wasichana zake tena ananiambia nipo nao bt sijajicommit nawajua wadada kama wanne kwa wakati tofauti madem zake na wao wananijua kama rafiki ya my ticha
nayeye anasema nilikupenda wewe tu bt ukanikataa sometimes natamani kumwambia mimi nakupenda kwa sasa ila nashindwa nabaki kuzugazuga tu na nahisi hata nikimwambia hatakuwa siriazi tena na anaweza kula mzigo kisha akasepa na urafiki nikaupoteza tena
naombeni mnishauri nifanyeje?
Nimrudishe kama zamani
kitu kingine mimi najijua kuwa mwingi wa habari hapa mjini na stori zangu nyingi anaambiwa na watu yaani mpaka vingine nashangaa kajuaje?ila huwa namkatalia kila siku hilo nalo naona limenipungizia maksi kwake
na sasa tunavyoonana kila siku mchana na jioni anazidi kunichanganya akili na yeye hana habari na mimi zaidi ya ushkaji
siku moja nilikuwa nimeingia admission nilikuwa na shida na kitambulisho changu cha chuo ,my teacher akaniona akashtuka kidogo ( ule mshtuko wa OMG where have you been?)akaniita akaniuliza una shida gani? Nami sikusita nikamueleze akanipa kimemo cha yellow akaniambia "write down here ur name+registration number kisha njoo kesho utakuta kila kitu sawa ofisi yangu ni namba .... Njoo mida ya saa saba" basi mtoto wa kike nikamshukuru huyo nikaondoka zangu kumbuka hapo nilikuwa simjui hata jina
kesho yake nikamfata ofisini kwake akanikaribisha kama important VIP mpaka akanitambulisha kwa office mates wake loo na juice nikapewa tukaanza stori na mimi mashaalah mtoto wa kizaramo mkazi wa kariakoo maneno hapa pake
tukaongea kama dakika 45 hivi na akachukua simu yangu akajibip kisha tukaagana na akanikabidhi kitambulisho changu(msiniulize alikipataje maana nilipoteza cha mwanzo nilikuwa nahitaji kingine na nilishalipia bank,na kufata tararibu zote ila nikawa nazungushwa kupewa bila sababu ya msingi na mitihani ilikuwa inakaribia)
since that day tukawa marafiki sana na my ticha akafall kwangu akanieleza live ila mimi picha nilishaisoma tokea siku ya kwanza kuwa kamind figa
kiukweli mimi sikumpenda hata kidogo ila kwa sababu ni my ticha kumpa live noma maana chuo chenyewe discontinue nje nje plus masup ya kumwaga nikamwambia tuwe marafiki tu ili kujuana vizuri mi napenda serious relationship
akanielewa na ile semester nikapigwa supp somo moja hivi na mwalimu wa somo lile ni friend wa my ticha nikaingia chumba cha mtihani lahaula mtihani kigongo maswali manne lakini nayajua mawili tu na kila nikipiga mahesabu ya passmark hazifiki
nikatoka chumba cha mtihani break ya kwanza kumtafuta my ticha nikamwelezee akaniambia kuwa baada ya wiki mmoja wataanza kusahihisha so hiyo wiki nimkumbushe
wiki ikafika nikamtafuta nikampa exam number na registration number basi akafanya mambo (
namshukuru kwa hilo maana ningerudia mwaka)
tukaendelea kuongea nikiwa bored namfata ofisini tunaongea na yeye akinimiss ananiambia namfata ofisi tunapiga stori na kwake alinipeleka lo the guy is young plus he is loaded and he is from wealth family bt mimi nilikuwa nasubiri mpaka moyo umuangukie
mwaka wa pili semester ya pili tukawa hivyohivyo wanafunzi wambea rumours oo mtoto mzuri mchumba wake ticha.....huwa anashinda nae ofisini basi ili mradi full umbea tu
basi tukawa gud friends na kiukweli tukawa hivyo
basi kwa bahati mbaya akaja kuwajua watu kama wawili niliodate nao kipindi nasoma mmoja tulikuwa tunaagana JKIA kwa makiss kumbe akaniona bwana kisha baada ya jamaa kukwea pipa akanicall akaniambia mpaka hapo nikajishushia marks nikaamua siwezi kuwa naye tena mwingine nikadate nae kumbe ni rafiki wa rafiki ya my ticha so habari akazipata mpaka hapo nikaona siwezi kuwa nae tena zaidi ya urafiki na mapenzi sikuwa naye ila hakukata tamaa pia my ticha kuna kipindi nilipata matatizo ya ada hapo chuoni akanisaidia ada na kumalizia mwaka
kiukweli alikuwa msaada mkubwa sana kwangu
mpaka nimemaliza chuo huu mwaka wapili sasa ila tunamasiliano mazuri na haipiti wiki bila hajaniona ila hayuko siriazi na mimi tena ananichukulia pouwa sana na nahisi mapenzi hana tena mimi kipindi hiki nampenda yani jamaa mbaya lakini kipindi hiki namuona bonge la handsome na yeye hana usirisazi na mimi ananichukulia ananichukulia zaidi ya urafiki hapa ninapofanyia kazi ni karibu na anapokaa na yeye kwa sasa yupo likizo so huwa anakuja sana kunitoa lunch na jioni ananifata ila hayuko kimapenzi ni kiurafiki tu na anavyoongea na mimi ni kama vile anaongea na washkaji tena wanabishana mpira bar roho inaniuma
natamani kumwambia bt nashindwa na pia sielewi nifanyeje awe kama zamani anijali na anipende
sometimes ananiambia mambo ya wasichana zake tena ananiambia nipo nao bt sijajicommit nawajua wadada kama wanne kwa wakati tofauti madem zake na wao wananijua kama rafiki ya my ticha
nayeye anasema nilikupenda wewe tu bt ukanikataa sometimes natamani kumwambia mimi nakupenda kwa sasa ila nashindwa nabaki kuzugazuga tu na nahisi hata nikimwambia hatakuwa siriazi tena na anaweza kula mzigo kisha akasepa na urafiki nikaupoteza tena
naombeni mnishauri nifanyeje?
Nimrudishe kama zamani
kitu kingine mimi najijua kuwa mwingi wa habari hapa mjini na stori zangu nyingi anaambiwa na watu yaani mpaka vingine nashangaa kajuaje?ila huwa namkatalia kila siku hilo nalo naona limenipungizia maksi kwake
na sasa tunavyoonana kila siku mchana na jioni anazidi kunichanganya akili na yeye hana habari na mimi zaidi ya ushkaji