vp ww mbona unaonekana kama hujaenda shule?unamjaji mtu kwamba ameenda shule kwa lugha uko ni kuathiriwa na ukoloni!
Mkuu Chige, kwenye hii post yako, inaonyesha ili edit, ile barua yako ukasahau kuirudisha, hivyo mtu akikutembelea hapa, anaweza asielewe hii post in a husu mimi, mimi nimekuja huku baada ya huyu jamaa kukuita eti wewe ndio mimi nimekuja na ID nyingine!.It has all what people would like to hear under prevailing political situation of our country and our neighbors in general. Its investigative novel where its main theme is CORRUPTION. I have been trying to contact some publishing companies, but theyre not comparative. I guess most if not all of them prefer the work of reference books for schools - the market is there!the post wanted a person... since Id to take a flight so as I could attend the interview! . if we u have anything we can share, please get in with PM
Pascomtoa uzi ni pasco ila umebadili ID
Yaani Pasco miaka yote uliyokaa JF bado unahangaika mtu akikuambia "Pasco" amekuja na ID mpya?Mkuu Chige, kwenye hii post yako, inaonyesha ili edit, ile barua yako ukasahau kuirudisha, hivyo mtu akikutembelea hapa, anaweza asielewe hii post in a husu mimi, mimi nimekuja huku baada ya huyu jamaa kukuita eti wewe ndio mimi nimekuja na ID nyingine!.
Pasco
Mkuu Chige, sihangaishwi na mtu kunidhania mimi ni nani, bali kwa bahati mbaya kuna sisi wengine humu, tuna damu ya kunguru, hasi kupitishwa kwa maazimio ya kususiwa!, sasa inapokea ana innocent victims kama wewe kusingiziwa ndio mimi, usipokanusha kwa nguvu na mapema, watu wanaweza kuamini ni kweli hali itakayohatarisha future threads zako kukumbwa na retaliation kuwa ukimuona Chinge, ujue ni fulani!.Yaani Pasco miaka yote uliyokaa JF bado unahangaika mtu akikuambia "Pasco" amekuja na ID mpya?