rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
People's Power ni Ideology made kwa ajili ya Mataifa ambayo hayana Demokrasia, kama vile The Arab World, lakini sio kwa Taifa kama letu la Tanzania. Hapa we are enjoying a full Democracy, kwa hiyo ni muhimu sana kwa Chama changu CCM, kusimama kidete na kuikataa sera ya People's Power iliyoletwa na kuongozwa na Chadema, baada ya sera zao za Majimbo na Mafisadi kushindwa kutoa results. Tanzania tunaongozwa na sera ya Mihimili mitatu, nayo ni Ikulu, Mahakama, na Dola as opposed na maneno ya wengi kwamba tunaongozwa na Ikulu, Bunge na Mahakama. Pia kwenye the end kuna sisi wananchi. Sasa CCM tunahitaji kua makini sana kwa sababu, ili People's Power ifanikiwe ni lazima Rais wa sasa apunguziwe Madaraka, kitu ambacho Chadema wamekuwa wakikililia sana kwenye mikutano ya Katiba mpya, ni kwa sababu wanajua kwamba Rais akipunguziwa madaraka wataweza kujipenyeza na kugonganisha mihimili hii ya Serikali na kuweza kushika nchi kirahisi sana kwa njia kama zile zilizotumika Egypt na Tunisia.
CCM we don't seem to understand the game Chadema is playing nyuma ya pazia la People's Power na hatari zake kwa Taifa na hasa maendeleo ya CCM kama chama Tawala. Kazi muhimu ya chama chochote Duniani ni kushinda uchaguzi kwanza, and then kutawala. CCM we need to educate our members athari za Rais wetu kupunguziwa madaraka, sawa kuna areas ambazo ni kweli anahitaji kupunguziwa, lakini bado ni lazima tupigane mpaka mwisho wa vita hivi vya itikadi, kuhakikisha mabadiliko ya katiba hayaondoi madaraka ya Rais kuchagua Viongozi wa Jeshi, Polisi, Mahakama, na pia tusijidanganye hata siku moja kufikiria kuwa na Rais wa CCM, asiyekuwa Mwenyekiti wa CCM siku tutakapojidanya na hilo ndio utakuwa mwisho wetu wa kutawala taifa hili.
Nia na madhumuni ya People's Power, ni kuwahamasisha wananchi wa-raise against Serikali, kama ilivyofanyika Egypt na Tunisia, na hii ni baada ya Chadema kugundua kwamba hawana uwezo wa kuishinda CCM kwenye kura. Kwenye uchaguzi uliopita Chadema walidai walishinda Urais, which was a pure nonsense, kwa sababu huwezi kushinda Urais wa Tanzania huku ukiwa na Wabunge 46 tu kati ya Wabunge 357 wanaotakiwa kisheria ya Jamhuri. Kwa hali ya kawaida haiwezekani wananchi wakapigia kura wabunge wengi wa CCM, lakini wakapigia kuchagua Rais wa kutoka Chadema kwenye kura hiyo hiyo. Sijawahi kumsikia Dr. Slaa mwenyewe akisema aliibiwa Urais kwa kawaida hayo husemwa na wapambe wake lakini sio yeye mwenyewe ikiwa ni dalili tosha kwamba anajua ukweli kwamba hakushinda. Lakini kulalamika kila wakati ni moja ya mbinu za kisiasa za Chadema kutaka kukubalika kwa wananchi.
Ninasema CCM, we cannot afford kulala na hawa Chadema, they are serious na wako very hungry na madaraka ambayo wanajua kabisa kwamba hawayawezi, kwa sababu hata kukiongoza chama chao wameshindwa, ndio maana leo unaona kina Zitto na Shibuda wanatangaza mapema kutaka kugombea Urais kupitia huko bila kusubiri vikao vyao, ni kwa sababu wanajaribu kutumia nguvu ya umma yaani wananchi kuwashinikiza Chadema watumie Demokrasia wakati utakapofika wa kuchagua mgombea wao. CCM tukiruhusu kushindwa na Chadema 2015 tutakuwa tumewasaliti wananchi wa Tanzania, ambao wengi wao hawajui nia na madhumuni ya Chadema, ambayo ni simply Madaraka na Biashara tu kwa watu wachache ndani ya uongozi wa juu wa chama chao.
Ni matumaini yangu kwamba CCM, tutajipima na kujitafakari sana namna ya kwenda mbele na sera za Chadema, ambazo ni hatari sana kwa taifa letu. CCM tuwaelimishe wanachama wetu waweze kujadili siasa za taifa kwa uelewa zaidi kuliko ki-Yanga na Simba kama wanavyofanya sasa. Halafu pia CCM ni lazima tuimarishe dhana za kujipima ndani ya Chama kwa viongozi wasiojiweza kiuongozi, tumejaza wengi sana ndani ya chama chetu, ninatoa pongezi sana kwa NEC kwa jinsi ilivyoweza kusimamia zoezi la kupitisha majina majuzi Dodoma. Wamejitahidi sana kupunguza makenge wengi kwenye huu msafara wetu wa Mamba, ingawa bado kuna makenge wengi bado wamerudi, lakini ninaamini kwamba kati ya sasa na 2015, wengi wao watajipima na kuachia ngazi wenyewe.
MUNGU AIBARIKI TANZANIA!!
William Malecela Le Mutuz!!
CCM we don't seem to understand the game Chadema is playing nyuma ya pazia la People's Power na hatari zake kwa Taifa na hasa maendeleo ya CCM kama chama Tawala. Kazi muhimu ya chama chochote Duniani ni kushinda uchaguzi kwanza, and then kutawala. CCM we need to educate our members athari za Rais wetu kupunguziwa madaraka, sawa kuna areas ambazo ni kweli anahitaji kupunguziwa, lakini bado ni lazima tupigane mpaka mwisho wa vita hivi vya itikadi, kuhakikisha mabadiliko ya katiba hayaondoi madaraka ya Rais kuchagua Viongozi wa Jeshi, Polisi, Mahakama, na pia tusijidanganye hata siku moja kufikiria kuwa na Rais wa CCM, asiyekuwa Mwenyekiti wa CCM siku tutakapojidanya na hilo ndio utakuwa mwisho wetu wa kutawala taifa hili.
Nia na madhumuni ya People's Power, ni kuwahamasisha wananchi wa-raise against Serikali, kama ilivyofanyika Egypt na Tunisia, na hii ni baada ya Chadema kugundua kwamba hawana uwezo wa kuishinda CCM kwenye kura. Kwenye uchaguzi uliopita Chadema walidai walishinda Urais, which was a pure nonsense, kwa sababu huwezi kushinda Urais wa Tanzania huku ukiwa na Wabunge 46 tu kati ya Wabunge 357 wanaotakiwa kisheria ya Jamhuri. Kwa hali ya kawaida haiwezekani wananchi wakapigia kura wabunge wengi wa CCM, lakini wakapigia kuchagua Rais wa kutoka Chadema kwenye kura hiyo hiyo. Sijawahi kumsikia Dr. Slaa mwenyewe akisema aliibiwa Urais kwa kawaida hayo husemwa na wapambe wake lakini sio yeye mwenyewe ikiwa ni dalili tosha kwamba anajua ukweli kwamba hakushinda. Lakini kulalamika kila wakati ni moja ya mbinu za kisiasa za Chadema kutaka kukubalika kwa wananchi.
Ninasema CCM, we cannot afford kulala na hawa Chadema, they are serious na wako very hungry na madaraka ambayo wanajua kabisa kwamba hawayawezi, kwa sababu hata kukiongoza chama chao wameshindwa, ndio maana leo unaona kina Zitto na Shibuda wanatangaza mapema kutaka kugombea Urais kupitia huko bila kusubiri vikao vyao, ni kwa sababu wanajaribu kutumia nguvu ya umma yaani wananchi kuwashinikiza Chadema watumie Demokrasia wakati utakapofika wa kuchagua mgombea wao. CCM tukiruhusu kushindwa na Chadema 2015 tutakuwa tumewasaliti wananchi wa Tanzania, ambao wengi wao hawajui nia na madhumuni ya Chadema, ambayo ni simply Madaraka na Biashara tu kwa watu wachache ndani ya uongozi wa juu wa chama chao.
Ni matumaini yangu kwamba CCM, tutajipima na kujitafakari sana namna ya kwenda mbele na sera za Chadema, ambazo ni hatari sana kwa taifa letu. CCM tuwaelimishe wanachama wetu waweze kujadili siasa za taifa kwa uelewa zaidi kuliko ki-Yanga na Simba kama wanavyofanya sasa. Halafu pia CCM ni lazima tuimarishe dhana za kujipima ndani ya Chama kwa viongozi wasiojiweza kiuongozi, tumejaza wengi sana ndani ya chama chetu, ninatoa pongezi sana kwa NEC kwa jinsi ilivyoweza kusimamia zoezi la kupitisha majina majuzi Dodoma. Wamejitahidi sana kupunguza makenge wengi kwenye huu msafara wetu wa Mamba, ingawa bado kuna makenge wengi bado wamerudi, lakini ninaamini kwamba kati ya sasa na 2015, wengi wao watajipima na kuachia ngazi wenyewe.
MUNGU AIBARIKI TANZANIA!!
William Malecela Le Mutuz!!