Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,212
Ndugu hizi ngonjera za mwenyekiti wako zitakusumbua bure ni bora uhame upande kama kweli una nia ya kupigania mabadiliko kama ulivyo mention mwenyewe. Huyu mwenyekiti wenu ni msanii wa hali ya juu kawateua tu vijana wakupiga kelele kama wendawaazimu mtaani kuficha uozo wake na weakness zake siku ziende (si kiongozi makini na ni coward huyu) hana huo ubavu wa kufukuza mtu.
kwanza elewa kuna katiba ya chama ambayo CCM ina ya kwake hapo sijui nguvu za mwenyekiti zinatumika vipi lakini huo huwezo wakuwatoa watu sijui CC or somen hapo ndipo janja yake inapoishia, hila huko mbele mjomba ni mtafaruku wa hali ya juu hata kama kweli anayo hiyo nia.
Kutimuliwa kwa Makamba Snr katika uongozi wa juu CCM usikutishe hile ilikuwa ni kazi ubwete. Raisi kama kiongozi wa chama hanao huwezo huo kichama lakini hana uwezo wa kuchezea katiba ya 'JMT' kiholela olela especially kwa vigogo wenzake waliomzidi maarifa.
Ukisha watoa huko CC bado wanabaki pale pale ni wabunge wa kuchaguliwa katiba inasemaje kuhusu viongozi wa kuchaguliwa na wananchi maana raisi hana haki ya kuvunja mkataba wa wananchi na viongozi wao waliemchagua wao hawawakilishe jimboni (sio enzi za nyerere hizi watu vilaza).
Kibaya zaidi hawa jamaa wanajeuri ya kusema mwenye kuwaona wana hatia hawashitaki mahakamani si ndipo hapo tunapoamua kama kweli kuna makosa, jiulize kwanini hili alifanyiki sasa sijui huyo mwenyekiti anatumia sababu zipi kusema watu wahame iwapo tuhuma zenyewe bado azija thibitishwa kisheria.
Kulalama kwa JF aina maana jamaa wapo guilty, maana hata muuaji hadharani sio guilty mpaka mahakama iamue hivyo. Kama kweli raisi anataka kuvua magamba akaze misuli hawashughulikie kupitia njia sahihi waende mahakamani, waonekane wanamakosa ndio uanze kelele baada ya hapo.
Na kama kweli hao triplets wataenda mahakamani ujue hii aitakuwa kama kesi hizi tulizozizoea za raisi akiamua jamaa wafungwe au wapatikane na hatia inakuwa. Hawa jamaa ni powerful matter of fact ndio waliomweka raisi madarakni and even if the president was to force the issue kuna hatakae baki kwenye ushahidi wa hawa watu si tutafunga mawaziri wote na serikali yenyewe kuko lapse.
Get real 'money' achana na hizi nyimbo za Chama Cha majambazi we hama kambi tu, hawa jamaa atleast wana moral authority ya kukemea lakini CCM ni uozo kuanzia juu mpaka chini na viongozi wote wanaoitumikia serikali ni yale yale tu. Hao jamaa (mapacha watatu) ni scape goats kwenye siasa za CCM ambazo viongozi wana uchu wa madaraka na wivu wa within the party; hila hali halisi CCM ni uozo mtupu huondio ukweli wenyewe.
Hivi we unaamini kabisa CCM itawafukuza wabunge wake kipindi hiki halafu waitishe uchaguzi au uoni momentum ya chadema waende poteza viti kwa upinzani. May be its about time 'slidingroof' explained the meaning of 'game theory' politically, apparently wajumbe wa raisi kwenye kuvua magamba hawalijui hili ndio maana watu wanakurupuka tu na kauli za kujichimbia makaburi.
kwanza elewa kuna katiba ya chama ambayo CCM ina ya kwake hapo sijui nguvu za mwenyekiti zinatumika vipi lakini huo huwezo wakuwatoa watu sijui CC or somen hapo ndipo janja yake inapoishia, hila huko mbele mjomba ni mtafaruku wa hali ya juu hata kama kweli anayo hiyo nia.
Kutimuliwa kwa Makamba Snr katika uongozi wa juu CCM usikutishe hile ilikuwa ni kazi ubwete. Raisi kama kiongozi wa chama hanao huwezo huo kichama lakini hana uwezo wa kuchezea katiba ya 'JMT' kiholela olela especially kwa vigogo wenzake waliomzidi maarifa.
Ukisha watoa huko CC bado wanabaki pale pale ni wabunge wa kuchaguliwa katiba inasemaje kuhusu viongozi wa kuchaguliwa na wananchi maana raisi hana haki ya kuvunja mkataba wa wananchi na viongozi wao waliemchagua wao hawawakilishe jimboni (sio enzi za nyerere hizi watu vilaza).
Kibaya zaidi hawa jamaa wanajeuri ya kusema mwenye kuwaona wana hatia hawashitaki mahakamani si ndipo hapo tunapoamua kama kweli kuna makosa, jiulize kwanini hili alifanyiki sasa sijui huyo mwenyekiti anatumia sababu zipi kusema watu wahame iwapo tuhuma zenyewe bado azija thibitishwa kisheria.
Kulalama kwa JF aina maana jamaa wapo guilty, maana hata muuaji hadharani sio guilty mpaka mahakama iamue hivyo. Kama kweli raisi anataka kuvua magamba akaze misuli hawashughulikie kupitia njia sahihi waende mahakamani, waonekane wanamakosa ndio uanze kelele baada ya hapo.
Na kama kweli hao triplets wataenda mahakamani ujue hii aitakuwa kama kesi hizi tulizozizoea za raisi akiamua jamaa wafungwe au wapatikane na hatia inakuwa. Hawa jamaa ni powerful matter of fact ndio waliomweka raisi madarakni and even if the president was to force the issue kuna hatakae baki kwenye ushahidi wa hawa watu si tutafunga mawaziri wote na serikali yenyewe kuko lapse.
Get real 'money' achana na hizi nyimbo za Chama Cha majambazi we hama kambi tu, hawa jamaa atleast wana moral authority ya kukemea lakini CCM ni uozo kuanzia juu mpaka chini na viongozi wote wanaoitumikia serikali ni yale yale tu. Hao jamaa (mapacha watatu) ni scape goats kwenye siasa za CCM ambazo viongozi wana uchu wa madaraka na wivu wa within the party; hila hali halisi CCM ni uozo mtupu huondio ukweli wenyewe.
Hivi we unaamini kabisa CCM itawafukuza wabunge wake kipindi hiki halafu waitishe uchaguzi au uoni momentum ya chadema waende poteza viti kwa upinzani. May be its about time 'slidingroof' explained the meaning of 'game theory' politically, apparently wajumbe wa raisi kwenye kuvua magamba hawalijui hili ndio maana watu wanakurupuka tu na kauli za kujichimbia makaburi.