my new signature......

inawezekana mmetoka naye mbali,hongera lakini kwa avatar mpya,ni nzuri sana!


Aaaah wapi, mupenzi ndo alinitambulisha... cha ajabu anataka kubadili.... Am glad you like my new Avatar... I wish kungekua na likes za Avatar walau kupata picha ....lol
 
Mi nashindwa kabisa kuwaelewa nyie shem zangu... na sasa naacha kuwalaumu inawezekana mimi ndo mwenye makosa... ngoja nitafakari na nichukue hatua....:decision::decision::decision:

Babu Asprin anaanza kuniharibia . . . lol
 
Namwonea wivu sana Lizzy...kuitwa cheo hicho hapo kwa red wikiendi kama hii, na mtu spesho kama Asha D, dhambi zangu zote zitafutwa!

Hahahhaha babu utamuoneaje wivu mjukuu wako?!Hapo bado barua za uchumba hazijaletwa....unanitisha!!!
 
ile enzi kabla taleban hawajaikamata kandahar,siku hizi noma hakufai,full scholarship nafikiria Asha kumpeleka Universitat Monte Carlo principe de Monaco.


The Following User Says Thank You to Bishanga For This Useful Post:

Asha D (Today)​
 
Mi nashindwa kabisa kuwaelewa nyie shem zangu... na sasa naacha kuwalaumu inawezekana mimi ndo mwenye makosa... ngoja nitafakari na nichukue hatua....:decision::decision::decision:

Nikusaidie partner...maana hawa watu hawa.........baasi tu!
 
Mi hata sina uhakika mpenz...uvivu umenijaa mpaka kwenye nywele!!lolzzz



Inapendeza dear... siku mojamoja naamini tunaruhusiwa kua wavivu.... Hata Bruno Mars katoa kibao cha kupalilia uvivu; Lazzy song unaitwa...
 
CPU anaeharibu niwewe.... yaani wewe uelewa huna kabisa hata uambiwe nini... Asprin shem wangu mzuri mara moja tu kaelewa na katii, now thats the man....lol

Hii crap inaitwa Sipiyuu hebu ikuje inisomee kwa sauti hizo bold hapo.........halafu initafsirie kinyerere pia.............

Mi nimesahau mawani yangu.
 
  • Thanks
Reactions: CPU
Hii crap inaitwa Sipiyuu hebu ikuje inisomee kwa sauti hizo bold hapo.........halafu initafsirie kinyerere pia.............

Mi nimesahau mawani yangu.


Asprin naomba nijibu mwenyewe CPU atatohoa... Maana yake wewe ndo mwanaume wa kweli (mana ni muelewa....)
 
Inapendeza dear... siku mojamoja naamini tunaruhusiwa kua wavivu.... Hata Bruno Mars katoa kibao cha kupalilia uvivu; Lazzy song unaitwa...
Ngoja ntautafuta niusikilize....
Enhe sasa partner ile dinner mpaka nilete mchele au inakuaje?!
 
Back
Top Bottom