CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 686
inawezekana mmetoka naye mbali,hongera lakini kwa avatar mpya,ni nzuri sana!
Ile ya kwanza ilikuwa inatisha kaa imemwagiwa MAJI TAKA??
Sijui kwa nini sikumwambia abadilishe??
inawezekana mmetoka naye mbali,hongera lakini kwa avatar mpya,ni nzuri sana!
inawezekana mmetoka naye mbali,hongera lakini kwa avatar mpya,ni nzuri sana!
Acha kabisa mpenzi... Enways saturday yangu leo iko slow but OK. Wewe leo wapi??
Mi nashindwa kabisa kuwaelewa nyie shem zangu... na sasa naacha kuwalaumu inawezekana mimi ndo mwenye makosa... ngoja nitafakari na nichukue hatua....:decision::decision::decision:
Namwonea wivu sana Lizzy...kuitwa cheo hicho hapo kwa red wikiendi kama hii, na mtu spesho kama Asha D, dhambi zangu zote zitafutwa!
nahisi dalili za wivu hapa ,usikonde CPU mi mzee choka mbaya mpaka niimbiwe 'simama dede'!
Nimeona na nimekubali..UKO JUU KAMA MLIMA MERU!Lizzy soma hapo!
Mi nashindwa kabisa kuwaelewa nyie shem zangu... na sasa naacha kuwalaumu inawezekana mimi ndo mwenye makosa... ngoja nitafakari na nichukue hatua....:decision::decision::decision:
Ile ya kwanza ilikuwa inatisha kaa imemwagiwa MAJI TAKA??
Sijui kwa nini sikumwambia abadilishe??
Mi hata sina uhakika mpenz...uvivu umenijaa mpaka kwenye nywele!!lolzzz
Babu Asprin anaanza kuniharibia . . . lol
CPU anaeharibu niwewe.... yaani wewe uelewa huna kabisa hata uambiwe nini... Asprin shem wangu mzuri mara moja tu kaelewa na katii, now thats the man....lol
Hii crap inaitwa Sipiyuu hebu ikuje inisomee kwa sauti hizo bold hapo.........halafu initafsirie kinyerere pia.............
Mi nimesahau mawani yangu.
Ngoja ntautafuta niusikilize....Inapendeza dear... siku mojamoja naamini tunaruhusiwa kua wavivu.... Hata Bruno Mars katoa kibao cha kupalilia uvivu; Lazzy song unaitwa...
karibu Sinza madukani tupate mchemsho.