Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Lizzy una undugu na Marehemu Sheikh Yahya?..............hebu soma hapa chini.....Huyu ataishia kucheza machungani ng‘ombe wapotee....!
Ng'ombe wameibiwa babu
Orayt....kwahiyo mtafutano ulishaisha?.....Nami pia nakutafuta ujue.Asprin mi mzima wa afya rafiki... Asante kwa ujumbe but hizo salamu zilifika... hata hivyo siku hio Kaizer hakunipata mpaka ilibidi atinge home...